Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Sanawari, Sakina, aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We upo wapi?Wami Sokoine
We upo nemba,mbindi au lubambangwe.?Katwe- buchosa
Chato mbele
Uke-rewe
Chakende
Katoro
Chenkonkola
Pale palikuwa panaitwa "Wales" na Wakoloni.Wailes
KatoroWe upo nemba,mbindi au lubambangwe.?
au kasenga
Huu uzi ilibidi uwekwe JF chit chat na sio habari na hoja mchanganyiko.Sio kuyafanya makazi ila kwenye matamshi yake tu yanakunogea na unatamani angalau ufike.
Mimi nyamagana na kurasini
Siku hizi wamehamisha machinjoni, yako huko shule ya tanga.Umenikumbusha UBENDE wa Msamala machinjioni
Nyasa mokooMbamba bay.
Msamala ni Songea mjini.Hope Ruvuma huko!
Namtumbo I wish to be there!
[emoji16]
Songea hii, naichukia Songea kwa ajili ya vumbi.Msamala
Kwa Morombo.,kuna nini Katesh? Hanang? Mromboo?
haya majina ya kiiraq, kimbulu n.k yananidatisha
Bus terminal pia ipo Shule ya Tanga.Siku hizi wamehamisha machinjoni, yako huko shule ya tanga.
Ubende na urustii. [emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi wenyejii tumeishazoeaaaa.Songea hii, naichukia Songea kwa ajili ya vumbi.