cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Yess iko kule pia, ni mbali sana kufika centre, ila mamlaka imeamua, hatuwezi kupingaaBus terminal pia ipo Shule ya Tanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yess iko kule pia, ni mbali sana kufika centre, ila mamlaka imeamua, hatuwezi kupingaaBus terminal pia ipo Shule ya Tanga.
Super feo wana ofisi Msamala unapandia pale ofisini kwao.Yess iko kule pia, ni mbali sana kufika centre, ila mamlaka imeamua, hatuwezi kupingaa
Na shell pia iko pale, afu pale sahivi si kuna mzani, bas malory yanapaki na kulala palee.Super feo wana ofisi Msamala unapandia pale ofisini kwao.
Ndio maana Songea kuna ukimwi sana, hawa madereva wakiweka kambi sehemu ni shida.Na shell pia iko pale, afu pale sahivi si kuna mzani, bas malory yanapaki na kulala palee.
Kumechangamka songea balaa, karibu kunyumbaaa.
Bila shaka Arusha moja hiyo.Olasiti, Ilboru, Oldeani, Oldadai
Kumbe sanawari imetokana na Son of the war? hebu dadavua kidogoBila shaka Arusha moja hiyo.
"Son of the war' - Sanawari
aah kumbe ni morombo?Kwa Morombo.,
WirelessWailes
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haswaa kukianza kupukutisha watu ni woteee chwaaaah!!!!Ndio maana Songea kuna ukimwi sana, hawa madereva wakiweka kambi sehemu ni shida.
Kule Kitai, Makolo, Paradiso mpaka Ruanda ukimwi ukianza kufumuka itakuwa hatari tupu, migodi ya makaa itawaletea balaa.
MchambawimaSio kuyafanya makazi ila kwenye matamshi yake tu yanakunogea na unatamani angalau ufike.
Mimi Nyamagana na Kurasini
Bomba mbiliMsamala
MshanganoBomba mbili
RuhuwikoMshangano