Majina gani ya maeneo/mitaa yanayokuvutia

Majina gani ya maeneo/mitaa yanayokuvutia

Ruvuma pengine ndo mkoa wenye majina mengi ya kushangaza
Namtumbo, msamala mpanangindo, mtyangimbole, likuyufusi, making'inda, etc
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namanyigu, kwa legele, mletele, lumecha.
 
Coca,

Nakumbuka mwaka 2018 nilinunuaga shamba sehemu moja panaitwa mliyayoyo alikuwepo ndugu yangu huko na mara ya mwisho kwenda ni 2019.

Kuna mtaa kila baada ya nyumba mbili au tatu utakuta kuna Banda la nguruwe na nyumba nyingi bado zile za tofali za kuchoma. Watu wanalima sana mahindi na vitunguu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] karibu tena kwetu Songea, huku tunalima sana Mahindi, maharage, ufuta, mpunga.

Nguruwee ndo mfugo wetu mkuu, kila mtaa bucha la [emoji241]lipoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mlilayoyo sahivi mashamba yamepanda bei, sio kununua wala kukodi.
 
Majina ya maeneo ya Arusha na Manyara yamekaa poa kuyatamka ila ukifika ndo utastaajabu kukutana na vumbi la poda watu wamepauka kwa baridi, ngozi hazina ushirikiano na meno yaliyoungua
 
Back
Top Bottom