Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kongorosi, maswa,lunzewe,hedaru,shangani,bijampola,Sio kuyafanya makazi ila kwenye matamshi yake tu yanakunogea na unatamani angalau ufike.
Mimi Nyamagana na Kurasini
Wapi mkuu. CcmBuseresere
NambarapiLilambo
Mbuyu wa mjerumaniMajina yote ya maeneo ya wilaya za mbulu babati hanang na karatu
Arusha nako hakujapoa, kuna Losimingori.Ruvuma pengine ndo mkoa wenye majina mengi ya kushangaza
Namtumbo, msamala mpanangindo, mtyangimbole, likuyufusi, making'inda, etc
Kuna LupembeLuponde-Njombe
PongweMikanjuni, Tanga
Barabara kuu kuanzia pale stendi ya zamani kuelekea Mwembechaihilo eneo ndo sikumbuki coz nilkua nakaa hostel
Coca,Na shell pia iko pale, afu pale sahivi si kuna mzani, bas malory yanapaki na kulala palee.
Kumechangamka songea balaa, karibu kunyumbaaa.
kumbe ndomana jina geni ,,nilkua napita tu na usafiriBarabara kuu kuanzia pale stendi ya zamani kuelekea Mwembechai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majengo kulizwa ni dkk chee tyuuh, hatareeee.kuna chuo matalawe pale wanajiita songea smart ni tawi la musoma utalii,,, aloooh nilvofka na mwenyeji wangu majengo nikaambiwa nigeuzie bagi kwa mbele[emoji23][emoji23][emoji23]
Au unataka kufika sifridiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dar-Pori. Sijui inaandikwa hivyo au Dapori.
Mbambabay, wenyewe wanatamka "mbabay"
MlalePeramiho, Lizaboni, halale......
Sado [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo neno dumla nimelisikia mara ya kwanza songea,nilikuwa sielew wenyeji wakizungumza dumla wanamanisha nn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi mambo yako kwa Disi matalawee. WoiiiiiihUkutane na urusti wa Englibert wa Peramiho, weeeeeeeeeeeeeeeee....!!!