Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] Dah ni kaka yangu kabisa huyu jamaa!Kuna jamaa pia tulikuwa naye Swiss Aid akiitwa Justin Mdemu mtu wa Iringa alikufa ghafla akiwa kikazi Kigoma
Alifariki aisee kaka yangu!Whaaaat, Justin Mdemu alishafariki? Alifariki mwaka gani wakubwa? Ninamfahamu alifanya taasisi moja akiwakilisha Save the Children katika mradi Fulani hivi. Nimesikitika sana. Alikuwa mchangamfu sana.
Kwakuwa umechapia kiingereza Ukhty faiza utamuonaFaiza Fox, Mwita25 na Rejao wako hai kweli? nauliza tu jaman i miss they comments
Ha ha ha their vs they. Kitambo sana hii comment, maana mwita 25 alipotea mazima, faiza yupo sana, rejao hasomeki sana lkn yupo yupoKwakuwa umechapia kiingereza Ukhty faiza utamuona
dah....watu wabaya sana, nimepotea tu hapa jukwaan miezi michache tayari washaconfirm nimeRIP.
Itakuwa ni kile kipindi alipokula life ban....Duh@faiza foxy tenaa looh
Hivi huyu alikufa kweli!!?Ninaemfahamu Dema amsi R.I.P
ben saanane yuko wapi?R.I.P SAIMON aka wasaimon
Huyu SAIMON Alizikwa huku njiro Arusha, nami nilishiriki mazishi haya!ben saanane yuko wapi?