Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.mama first born nili kuta hospital ana jiitisha hili jina nika piga marufuku ,mtoto wangu sio facebookJunior
Bhoke Ukrayani mbona yapo mengi, Masyaga piaBhoke
Ngagati
Mwagita
Mbula
Masyaga
Nyambari
Tangu mikorogo, mawigi, kucha za bandia, nyusi za bandia, ma wawowo ya mturuki yaingie bongo nani anayataka tena hayo majina?1. Sikudhani
2. Mwamvita
3. Chiku
4. Mwadhani
5. Sipati
6. Jualako
7. Ubaya
8. Havijawa
9. Havintishi
10. Hakai
11. Hazimala
12. Msichoke
13. Ongeza yako
Siku hizi mitaani kuna majina ya kisasa tu kama Janet, Happy, Ilham,Snura, Barkis, Barke, nk nk. Je ndiyo kuelimika au kuwa wa kisasa zaidi.
Majuto1. Sikudhani
2. Mwamvita
3. Chiku
4. Mwadhani
5. Sipati
6. Jualako
7. Ubaya
8. Havijawa
9. Havintishi
10. Hakai
11. Hazimala
12. Msichoke
13. Ongeza yako
Siku hizi mitaani kuna majina ya kisasa tu kama Janet, Happy, Ilham,Snura, Barkis, Barke, nk nk. Je ndiyo kuelimika au kuwa wa kisasa zaidi.
Janet haliwezi pitwa na wakati maana ya Janet ""GOD IS GRACIOUS"" yaan Mungu Ni mwemaKuna baadhi ya Majina uliyotaja nayo yamepitwa na wakati mfano kama ya Happy na Janeth.
Ukiachana na hayo ya "waswahili", kuna mengine kama Deborah, Dorah, Neema, Laheri
Nayo yanapotea
KumbeTangu mikorogo, mawigi, kucha za bandia, nyusi za bandia, ma wawowo ya mturuki yaingie bongo nani anayataka tena hayo majina?
majina mazuri yana tabia mbayaKwanini umpe mwanao jina baya.....😏
Majina ya kiswahili mazuri bwana,1. Sikudhani
2. Mwamvita
3. Chiku
4. Mwadhani
5. Sipati
6. Jualako
7. Ubaya
8. Havijawa
9. Havintishi
10. Hakai
11. Hazimala
12. Msichoke
13. Ongeza yako
Siku hizi mitaani kuna majina ya kisasa tu kama Janet, Happy, Ilham,Snura, Barkis, Barke, nk nk. Je ndiyo kuelimika au kuwa wa kisasa zaidi.
Mara ya kwanza nakutana na hili jina, alikuwa dada mmoja tulikuwa tunasoma darasa moja. Sasa siku nilikuwa naandika majina, alivyonitajia nikajiuliza hivi linaandikwaje, maana dem mwenyewe alikuwa anajifanya anajua sana english "havi-nti-sh". nikamwambia andika mwenyewe. Alivyoandika ilibidi nicheke tu9. Havintishi
Sitakaa nimuite mwanangu junior🤣🤣.mama first born nili kuta hospital ana jiitisha hili jina nika piga marufuku ,mtoto wangu sio facebook