Majina maarufu ya utani kumaanisha mtu ni tajiri

Majina maarufu ya utani kumaanisha mtu ni tajiri

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Ukiwa tajiri kuna raha yake bana, maana utapewa majina kede kede ya utani ku signify utajiri wako.


. KIFARU
. KIFAMBA
. ZIMBA
. FOGO
. FAZA
. BABA PAROKO


Ila haya ni kwa upande wa huku kaskazini zaidi, ningeomba na nyie mtuambie sehemu ulipo, tajiri huwa anaitwaje kwa jina la utani.
 
Don, Wakishua, Maisha Safi, Mboga kumi... ya kumi na moja chill sauce, Good Life no stress, Tembo,Kibosile mapesa, Maisha Uhakika, Papaa, Nyamiela. mkuu narudi... Kumalizia majina mengine
Hahahaaa.. Hiyo Nyamiela nimeikubali..
 
Taita
Boss kubwa
Meli
Kibopa
Kirenga
Kibosile
Baadhi yanaweza kuwa old school kwa vijana wadigo..[emoji3]
Hiyo Kirenga pia tamu kinoma.. Au wanaifupishaga .. Inakuwa. RENGA
 
Don, Wakishua, Maisha Safi, Mboga kumi... ya kumi na moja chill sauce, Good Life no stress, Tembo,Kibosile mapesa, Maisha Uhakika, Papaa, Nyamiela. mkuu narudi... Kumalizia majina mengine
Ila wakishua naona ipo sana kuonesha mtoto ambaye kazaliwa kwenye maisha safi
 
Mkuu si ajabu unaishi uru mawella, nilipita hapo kijijini nikakuta jamaa mmoja anaitwa Zimba' hah hah nilishangaa sana aisee dah! Mwingine anaitwa Mipango ya Mungu duh! Anyway ahsante kwa taarifa!
 
Digala (nadhani hii ni ya kilugha).

Mzee wa mavumba.
 
Bepari
Digala
Don
Matawi ya juu
Kibopa wakubopela
Mtu mzito
Mnywa chai ya kutia ndimu
 
Back
Top Bottom