Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Ukiwa tajiri kuna raha yake bana, maana utapewa majina kede kede ya utani ku signify utajiri wako.
. KIFARU
. KIFAMBA
. ZIMBA
. FOGO
. FAZA
. BABA PAROKO
Ila haya ni kwa upande wa huku kaskazini zaidi, ningeomba na nyie mtuambie sehemu ulipo, tajiri huwa anaitwaje kwa jina la utani.
. KIFARU
. KIFAMBA
. ZIMBA
. FOGO
. FAZA
. BABA PAROKO
Ila haya ni kwa upande wa huku kaskazini zaidi, ningeomba na nyie mtuambie sehemu ulipo, tajiri huwa anaitwaje kwa jina la utani.