Yaani ni shida jamani...ujue neno lolote hata kama ni neno la Mungu linaweza kuonekana ni dongo inategemea tu tafsiri ya msomajiNa hayo maneno ya ukakasi ndiyo angeyaona. Yule Khantwe sijui ananitafuta nini eti kaniletea zawadi ya kanga yenye maneno haya.
Wa kudanga nae anavaa vya kuonja vitamuNa mwenye mume anavaa, “Bora mie mwenye Mume kuliko weye wa kudanga”
Kwa kweli mkuu mimi nilisema sinunui tena kanga ya kumpa mtuNdio maana watu wengi wanatoa zawadi ya vitenge kuepusha usumbufu wa mkanganyiko wa maneno ya kwenye khanga
[emoji23] [emoji23] umeona eeh kama ya kuvaa mwenyewe nabeba tu kwani shngapi...atakayesoma akalichukua kama dongo kwake atajijuaTena zenye maneno ya ukakasi ndiyo rangi na maua vimetulia
Unaivaa chini juu haisomeki[emoji23] [emoji23] umeona eeh kama ya kuvaa mwenyewe nabeba tu kwani shngapi...atakayesoma akalichukua kama dongo kwake atajijua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Andaa laki kabisa maana mwenzio nina kabati zima la khanga zenye madongo
[emoji23] [emoji23] tusimulie bathiiHuu uzi umenikumbusha mbali kweli, mara yangu ya kwanza kununua khanga nilijinunulia tu bila hata kusoma maneno yake kilichonikuta ilikuwa balaa
Edit mkuu post yakoYa kwangu imeandikwa usidharau dafu embe Tundu la msimu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nahisi unachowaza!Kwwko Niko radhi kutumia laki 2 I'll mradi tu upate majibu yako. Angalia lkn usije jinyonga
Asante mkuuEdit mkuu post yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nahisi mhusika yupo humu atanigundua na sitaki anifahamu hapa[emoji23] [emoji23] tusimulie bathii
Bora unajua ninachowaza, usianze kunitishia[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nahisi unachowaza!
Maskini ungejua donge nililonalo ungeninunulia tu khanga yakuniomba msamaha..
Ngoja tu nikuache, maana hujui kuwa "MOYO WANGU SULTAN CHA MTU SITAMANI"Bora unajua ninachowaza, usianze kunitishia
Nunua majibu ninayo
kwa sisi wanaume vipanga hamna kitonga kama kutomb.a madem wenye bifff....unamuanza mmoja..unamlaaa ile anaanza kumtambia mwenzake unachuna unahamia kwa adui yake..kwa akili ndogo utapewa uchi akimkomoa kumbe wewe wala zako rahaKabisa mkuu ndiyo maisha yetu uswazi
Asante in advance, nishaanza kutetemeka maana kusutana sijawahiNgoja tu nikuache, maana hujui kuwa "MOYO WANGU SULTAN CHA MTU SITAMANI"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Asante in advance, nishaanza kutetemeka maana kusutana sijawahi