mtumishidc
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 513
- 181
Maneno matamu kavazi kachungu maana kanguo ka ndani kaleee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yanatia moyo na kubariki pia
Nenda bongo movie maana hapa sio mahali pa maigizo...Nilikorofishana kidogo na mpenzi wangu nikagoma kula nikaondoka ile narudi namkuta kavaa khanga imeandikwa 'ukisusa wenzio wala',jamani hivi haki kweli kuvaa khanga kama hii maana sio mara yake ya kwanza kuna safari flani hivi nilisafiri kwa dharura sikumuaga niliporudi nikamkuta kavaa khanga imeandikwa 'ni bora nimpe jirani kuliko kiozee ndani',.na kuna siku niliacha hadi kwenda kazini niliamka nikakuta kanivalia khanga imeandikwa 'ukitoka wenzako wanaingia'.jamani hivi maneno ya kwenye khanga hayana mipaka?
"kantangaze"
Chai.......
'Wako akiwa kwako, akitoka nje si wako!'.
'Wako akiwa kwako, akitoka nje si wako!'.
Chai.......