philipo je inakuwaje
wengine kama Ibrahim huwa wanabusara sana,, wapole and great thinkers
Majina gani yanapenda sana Mbweche?
mbona kina michael kibao wauza pweza tu.Majina ya Michael wana tabia ya kuwa Nyota e.g.
Michael Jackson - Music
Michael Jordan - Basketball
Michael Schummacha - Formular 1
Michael Owen - Football
Michael Johson - Athletic
Mike "Iron" Tyson - Boxing.
mbona kina michael kibao wauza pweza tu.
Tanesco-HAWAAMBILIKI oops kumbe majina ya wa2,
ok
GLORY-wanamaringo
ROSE-kwa wanaume
CHAUSIKU-hana maendeleo.
DEO-kwa vidosho noma
athari zao ni zipi za haya majina,maana hawa wamama ni watata,sijui kama wanaishi na wanaume hawaAnna Tibaijuka
Anna Makinda
Anne Kilango
Anna Abdallah
.............
Ongezeni mengine na muwape watoto wenu wa kike jina la Anna!
nami nakubaliana kabisa na hayo majina na matukio yaokuna jiran yangu anaitwa Deo, kweli umempatia.
Je akina Mutalemwa,Mutakyawa,Mujuni,Kaiza etc
Stela/mariamu ni baa med
Anna Tibaijuka
Anna Makinda
Anne Kilango
Anna Abdallah
.............
Ongezeni mengine na muwape watoto wenu wa kike jina la Anna!
Victor je?
mwanaume hawi malaya wewe!jackie kwa wanawake huwaga malaya sana alaf wazuri haswaa
abuu huwaga malaya sana kwa wanaume..
Kwani mnaongelea majina ya kwanza au ya ubini??Je akina Mutalemwa,Mutakyawa,Mujuni,Kaiza etc