Majina na Tabia zake

Majina na Tabia zake

Kwa hiyo kama huridhiki na tabia yako inabidi ubadili jina dah haya bana. Ila nasikia wenye majina ya Akwinata watamu ila eti kukuchomesha mahindi kwao kawaida.
 
Na majina kama
JAMES
ERICK
GERARD
ROBERT
GEORGE HUWA INAKUAJE?
 
Yuda - Waongo
Samson - Wapole
Mateo, Matthew, Mathias - Viwembe
Sarah - ving'ang'anizi
Lameck - Wana adabu sana
Rose - wanajiona
Joshua - Wakarimu, watanashati
Kwenye red..Na niwagombanishi sana
 
David beckam
david villa
king david (bible)
.
.
.


Huwa wanapendwa sana....
 
Emmanuel mbona wengi waungwana; sijawahi kuckia wakihusishwa na ugomvi au fujo!
 
patrick wanakuwaga wanaume wafupiii...maneno tele
martin ni warefu wenye malengo.
 
charles huwa ni wabishi sana
shaaban huwa ni wabishi na wajuaji
farida huwa ni malaya
ninao kina Shabani wawili,hawa jamaa wanapenda ligi mpaka basi. Ila my brother wangu kaoa my wife wake anaitwa Farida kama vipi nitamtest nimuone kama malaya au vipi.
 
Hello wana JF ktk tafiti mbalimbali zinaonyesha wazi majina tunayobatizwa au tunayopewa na wazazi hufanana na tabia ambazo tunakuwa nazo tukifika ukubwani. Na hii hugundulika baada ya kulinganisha watu wawili watatu na kuwafanya sample ktk jina wanalofanana na baadhi ya majina huwa na sifa mbaya.Mfano jina la ASHA watu wenye majina haya wengi wao huwa waongeaji saana,wapenda udaku na mengine mengi na kwa wa vulana jina la EMMANUEL- watu wenye jina hili huwa wapenda ugomvi na wenye sura za upole sana. Huu ni mtazamo wangu je wewe nipe majina mengine na tabia zake na ni je unakubaliana kuwa tabia zinaendana na majina?

Frida huwaga na furaha siku zote,sio waongeaji sana,hawana kinyongo,wala makuu...wakiamua kununa wamenuna.
 
Back
Top Bottom