Majina na Tabia zake

Majina na Tabia zake

Irene-warembo ila balaa wanaume wengi
Aneth - Baamedi
Yusuph-wana vichogo kama ncha ya pipi iliyomumunywa!
Ally-watundu,vilaza darasani!
Neema-walokole
Asha-Mdomo hawafai
Juma-soka wanaweza,ila waizi wa kuku!
Said-hawaeshimu wakubwa
John-madomo zege!
 
Andrew-wapole ila wana msimamo na maamuzi yao,hawashauriki
Alex-viherehere,wakorofi na waongeaji! Usibishane nao
Deo-matapeli,waongo na wanafki.Machoni wapole
Richard-wachafu na wanapenda ngono balaa

da kuna jamaa anaitwa deo ni tapeli wa kutupwa!!hiyo naijua 100%
 
Allan........
Allen...........
Alice..........
?????????????

Alice wanajisikia hao?? Manjonjo kibao lakini Mkichwa ni ''seti tupu'' na zaidi ya yote wavivu na vicheche vilevile. Ila wana figure nzuri.
 
Tanesco-HAWAAMBILIKI oops kumbe majina ya wa2,
ok
GLORY-wanamaringo
ROSE-kwa wanaume
CHAUSIKU-hana maendeleo.
DEO-kwa vidosho noma
 
Irene-warembo ila balaa wanaume wengi
Aneth - Baamedi
Yusuph-wana vichogo kama ncha ya pipi iliyomumunywa!
Ally-watundu,vilaza darasani!
Neema-walokole
Asha-Mdomo hawafai
Juma-soka wanaweza,ila waizi wa kuku!
Said-hawaeshimu wakubwa
John-madomo zege!
samahani mzee na kina Martin wakoje?
 
Back
Top Bottom