Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina gani limeandikwa kwa ufasaha hapo?baadhi ya majina kama ameyaandika kwa ufasaha wa wahusika hayawezi mletea shida kweli..?
wanasheria mnasemaje hapa..?
Kwani Wema wapo wangapi!?.., Tatizo ni kuandika Wema Sepetu. Halafu ukifika level ya kujenga LODGE kama hiyo hayo mambo unakuwa unayajua.baadhi ya majina kama ameyaandika kwa ufasaha wa wahusika hayawezi mletea shida kweli..?
wanasheria mnasemaje hapa..?
Names are for the whole world!baadhi ya majina kama ameyaandika kwa ufasaha wa wahusika hayawezi mletea shida kweli..?
wanasheria mnasemaje hapa..?
Na mimi nitakua na yangu mwakani IJN ila hiyo hainuhusu mkuu.Hapa kuna mawili, aidha unafanyia promo LODGE inayokuhusu au kweli umefurahia ubunifu wa majina. Binafsi nimemkubali aliyevipa vyumba majina. Na wewe una kitu usipuuzwe..
😀😀😀Huyu mmiliki amempendelea Zari na ni dhahiri yeye alimkubali zaidi Mganda.
Hapo Tabata pia kuna Mtaa Pub zake zinajiita majina ya Social media. Kuna Twitter, Kuna Face book nk nk ni ubunifu tuu
Nikiandik Peter unaanzia wapi kuwa jina ni lako? Zuchu ameli register as trade name?Hata mie niliwaza hivyo ila hakuna jina hapo mtu atadai yeyekama yeye ndo aloandikwa