Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

baadhi ya majina kama ameyaandika kwa ufasaha wa wahusika hayawezi mletea shida kweli..?
wanasheria mnasemaje hapa..?
Majina sio hatimiliki. Mfano Wema akija kulalamika ataambiwa Wema ya pale ni neno la Kiswahili linaloashiria utu, uungwana. Zari akija ataambiwa ni zari la mentali.

Ingeandikwa CocaCola au Azam ndio ingekuwa shida.
 
Back
Top Bottom