Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Kama wewe fundi mbona mzee Grahams kakupora pisi 2 unabaki kulia lia tu😀😀

Mi pisi ikishaingia kwenye cobweb hakuna wakunipora😀

Unaporwaje demu blaza??!!😎😂😀
Itakuwa anatania tu 🤗

Mabinti humu hawataki ku-date na sisi Wazee, wanasema tunaweza kufia kwenye kinena 🙌

Kweli hatuna bahati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…