Mimi na majirani zangu PSL god na father-xmas tutakuwa Diamond 🤪🏃🏿♀️Nkienda apo na Kelsea wangu
Ntalala zuchu ili nipewe uno la zuchu😂😂
Sio kiivyo ila wengi wao ni wahuni ndo maana wanasemwa sana jirani uzinzi na bodaboda ni pete na kidole jirani 😊Hivi kwani bodaboda ni low class citizen au?
Waoooh jirani Asante 🤩🔹♦️🤗🤗
Good evening jirani huko ni morning kwani!?
Eeh mbona umechelewa hivyo jirani!Wala ila ndo nimeamka😀
Kwann umesema hivyo!? Umewahi kutongozwa nao? 😅Okay.
Sema boda jamani wana akili fulani huwa zinafikirisha
Kutongozwa wanawake hatushangai sema sio wote ila wengi wao ni kama makondoo.Kwann umesema hivyo!? Umewahi kutongozwa nao? 😅
Hahaha kazi ipo ndo maana marekani hawaruhusu huu usafiri kama biasharaKutongozwa wanawake hatushangai sema sio wote ila wengi wao ni kama makondoo.
Wale kukuua ni dkk.
Sielewi kwanin wanang’oa site mirror.
Unakuta hana site mirror,earphone masikion ila atahama barabaran wala hageuki.
Kona hapigi honi.
Inshort wengi hawajui traffic rules ila wamekua sehemu muhimu ya maisha yetu.
Ningekua na mamlaka ningewawekea sheria kali sana