Tutampa muongozoKaa standby tunakutua ngoja tukae kama kamati
ππ pazuriNawaona kule mnapanga vacay kibaguzi na mie ni king'ang'a sikubali kuachwaaaπππ
Tukataliini Vikindu ECOFOREST
then tukichoka tunaenda zetu kulala hapo Alafaya.π.
Japo lastborn Lamomy kazoea 8star hotels tunakalazimishaπ
Missy Gf Joannah
na bestie angu mzabzab πView attachment 3178702View attachment 3178703
Twendeni huko msimsahau na mahi wangu Kapeace na shem Kalaga Baho Nongwa awe ananichekesha πΉJamani twendeni...ngoja waje
Tutafurahi kujumuika naoTwendeni huko msimsahau na mahi wangu Kapeace na shem Kalaga Baho Nongwa awe ananichekesha πΉ
Kila mtu anakula kazini kwakeπ π€£πMama mtumishi anatafuna sadaka bila wasi πΉ
Anakula madhabahuni huku waumini wanateseka.!!
Yeah panavutia.ππ pazuri
Ila huyo mzabab mhmm.!! πΉ
Mi nitakuwa nawaangalia anavyowabambia na mlivyobarikiwa mizigo sijui π€£π€£
Sadaka zinalipa na sie tufungue kanisa letu π€£π€£Kila mtu anakula kazini kwakeπ π€£π
Huo ndio uhalisia wa mzabzab .......ninamjua vizuri weekend akiwa kwake anachezacheza na vitoto vyake mixer kuvipeleka mlimani City hana hata hizo hekaheka anazodanganya humuYeah panavutia.
Mecheka hapo kwa mzabππ
Ila huyo mtu sijui kwanini nahisi kiuhalisia ni mtu mwema baba wa familia wale hata mpira anaangalilia sebulen kwake huku anamsaidia wife kubadili mtoto diaperπ
πΉπΉπΉYeah panavutia.
Mecheka hapo kwa mzabππ
Ila huyo mtu sijui kwanini nahisi kiuhalisia ni mtu mwema baba wa familia wale hata mpira anaangalilia sebulen kwake huku anamsaidia wife kubadili mtoto diaperπ
ππMama mtumishi anatafuna sadaka bila wasi πΉ
Anakula madhabahuni huku waumini wanateseka.!!
Hao wengine mbona sijawazoea msijenifanya nikajihis mgen katikati ya family yanguπTwendeni huko msimsahau na mahi wangu Kapeace na shem Kalaga Baho Nongwa awe ananichekesha πΉ
We kwa vile unajua kuchangamsha genge naomba uwe nabii,mimi nitakuwa msimamizi wa sadaka,nahakikisha makapu yote yameingia stoo tunayapanga kwa majina mazuri mazuri kama "sayuni,kapernaumu,galilaya,dameski,nazareth na goligotha"mimi kazi yangu ni kusimamia ashers wayapeleke stoo direct mara zoezi la utoaji linapoisha,nafunga stoo ufunguo kibindoni tutahesabu na nabii baada ya ibada....hiyo imekaaje?Sadaka zinalipa na sie tufungue kanisa letu π€£π€£
Kabisa.Kila mtu anakula kazini kwakeπ π€£π
Kwanza tangu mwanzo unakumbuka wale walawi waliambiwa watakuwa makuhani wasifanye kazi zozotre na watunzwe na wapewe nyama zilizonona πKabisa.
Sasa mtumishi asipokula sadaka ale nini?π
πΉπΉπΉππ
Mi huwa nawaambia kondoo wa bwana wamjaribu Bwana kwa kutoa hadi wabaki tupu hlf waone vile bwana atawajazia kwa kushindilia na kusukasuka hadi neema zimwagike
Mna maneno ya kutujaza nyie watumishi!basi hapo tunatoa hadi nauli za daladala halafu tukitoka nje tunaanza kutia hurumaππ
Mi huwa nawaambia kondoo wa bwana wamjaribu Bwana kwa kutoa hadi wabaki tupu hlf waone vile bwana atawajazia kwa kushindilia na kusukasuka hadi neema zimwagike
πΉπΉπΉHao wengine mbona sijawazoea msijenifanya nikajihis mgen katikati ya family yanguπ