The way yuko proud na kibamia chake mi nakuaga hoi😀😹😹😹
Mzabzab ni tatizo yani ananichekeshaga na story zake za mbususu…. Hakuna siku ipite comment yake asitaje kibamia na mbususu 🤣🤣🤣
Nimecheka mpk watu wananishangaa 🤣🤣🤣🤣🤣We kwa vile unajua kuchangamsha genge naomba uwe nabii,mimi nitakuwa msimamizi wa sadaka,nahakikisha makapu yote yameingia stoo tunayapanga kwa majina mazuri mazuri kama "sayuni,kapernaumu,galilaya,dameski,nazareth na goligotha"mimi kazi yangu ni kusimamia ashers wayapeleke stoo direct mara zoezi la utoaji linapoisha,nafunga stoo ufunguo kibindoni tutahesabu na nabii baada ya ibada....hiyo imekaaje?
Hilo kapu la golgotha litajaaje sasa😀We kwa vile unajua kuchangamsha genge naomba uwe nabii,mimi nitakuwa msimamizi wa sadaka,nahakikisha makapu yote yameingia stoo tunayapanga kwa majina mazuri mazuri kama "sayuni,kapernaumu,galilaya,dameski,nazareth na goligotha"mimi kazi yangu ni kusimamia ashers wayapeleke stoo direct mara zoezi la utoaji linapoisha,nafunga stoo ufunguo kibindoni tutahesabu na nabii baada ya ibada....hiyo imekaaje?
😹😹😹The way yuko proud na kibamia chake mi nakuaga hoi😀
Hao hawana baya utawazoea fasta...Hao wengine mbona sijawazoea msijenifanya nikajihis mgen katikati ya family yangu😀
Weeee hao waumini wanaichuchumilia taji.Hilo kapu la golgotha litajaaje sasa😀
Ndo mana nikiona wanaolalamika sadaka zinaliwa nasema hivi hawa hawajui neno limetuagiza tuzitafune sadaka nono hadi tunone?Kwanza tangu mwanzo unakumbuka wale walawi waliambiwa watakuwa makuhani wasifanye kazi zozotre na watunzwe na wapewe nyama zilizonona 😅
😀😀😀 nenda tu dogo ila usitoe kijinga😹😹😹
Yani nikiwasoma km hivi hata jumuiya sitokei siku hizi, naona napigwa pesa na muda wangu.!!
Ndio maana tunaoijua kweli kumlisha na kumpa mtumishi kila kitu changu hadi mi nibaki peeee sioni kama ni kesi,maana najua hazina zangu naweka mbinguni ambapo nondo wala kutu hazitaharibu....mtumishi mimi nipo na wewe hadi nifilisikeNdo mana nikiona wanaolalamika sadaka zinaliwa nasema hivi hawa hawajui neno limetuagiza tuzitafune sadaka nono hadi tunone?
Siendi tena aiseee.! 😹😀😀😀 nenda tu dogo ila usitoe kijinga
Sema hapo kwenye hazina mbinguni TUMEPIGWA 😹Ndio maana tunaoijua kweli kumlisha na kumpa mtumishi kila kitu changu hadi mi nibaki peeee sioni kama ni kesi,maana najua hazina zangu naweka mbinguni ambapo nondo wala kutu hazitaharibu....mtumishi mimi nipo na wewe hadi nifilisike
Nenda kanisani we mtoto familia yetu inamjua Mungu.Siendi tena aiseee.! 😹
🤣🤣🤣🤣UKOJE lakini.?hebu weka hazinaSema hapo kwenye hazina mbinguni TUMEPIGWA 😹
Mna maneno ya kutujaza nyie watumishi!basi hapo tunatoa hadi nauli za daladala halafu tukitoka nje tunaanza kutia huruma
Kuna singo maza mwenzangu nilimsaidia siku moja hela ya chakula cha mwezi huwez amin aliipeleka yote kwa Mwamposa hadi naul yakurudia akakosa namdharau had kesho
Nitajitahidi ila naona jau kweli ss hivi 😹Nenda kanisani we mtoto familia yetu inamjua Mungu.
🤣🤣🤣🤣We kiboko kituo cha polisi?mi natamani kumiliki choo cha kulipia maaneo flan ya stend iliyochangamka kumbe tuachane tu tufungue zetu Church si unaona mwenzetu Uwoya kaanza kujiongeza mdogomdogoNimecheka mpk watu wananishangaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nilikuwa na idea ya kufungua kituo cha polisi nimehairisha twende na kanisa huko kuna PESA.! 😹
Na mie namuongeza bucci boy😀😹😹😹
Hao km unavyoniona mimi wana vibe utawapenda bure.!
Ninenepeshe shetani kiti akonde 😹😹🤣🤣🤣🤣UKOJE lakini.?hebu weka hazina
Kituo cha polisi lamomy niache😀😀Nimecheka mpk watu wananishangaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nilikuwa na idea ya kufungua kituo cha polisi nimehairisha twende na kanisa huko kuna PESA.! 😹