Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Usijali mimi ni kama yule mjane wa Sarepta....alibakiwa na unga konzi moja na kibaba cha mafuta,ila alimpikia mtumishi wa Mungu uliona kilitokea nini?pipa lilijaa unga na mafuta mpaka vinamwagika halafu mtu anidanganye nisimpe mtumishi weeee labda nimerogwa... Nifilisi mtumishi huna baya we ni Mlawi nitakutunza....😅
 
Amin amin nakuambia wewe ni kama Daudi machoni mwa Bwana😁
Na huyo atakayejaribu kukuroga atakua amechezea sharubu za Yesu.😁
Jumapili utapanda madhabahuni utoe ushuhuda jinsi ulivyoinuliwa baada ya kuingia madeni ili mtumishi ale vinono😁.
Mzee wa kanisa atakuambia maneno ambayo roho anataka uyaseme ktk ushuhuda wako😁😃
 
Nyie kibamia changu mnakisema lakini hamtaki kukionja kwa nini lakini mashangazi wa jf? Nionjesheni vitumbua vyenu na mie niwaonjeshe kibamia
 
Kwanza hakuna uchawi wala uganga utakaoingia kwenye nyumba ya Yakobo....sawa naomba mzee wa kanisa nionane nae jmosi mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…