Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Usijali mimi ni kama yule mjane wa Sarepta....alibakiwa na unga konzi moja na kibaba cha mafuta,ila alimpikia mtumishi wa Mungu uliona kilitokea nini?pipa lilijaa unga na mafuta mpaka vinamwagika halafu mtu anidanganye nisimpe mtumishi weeee labda nimerogwa... Nifilisi mtumishi huna baya we ni Mlawi nitakutunza....😅Wewe si unalijua neno na unaliishi😀
Hawa wengine ndo mana uchumi na afya na ndoa zao zinakufa kifo cha Anania😀
Kamwe asitotokee awaye yeyote kukudqnganya ukaacha kutoa.😀
Ukiona bank zimeisha nenda OYA kakope upate ya kuleta madhabahuni😀