Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Kuna guest ya jamaa yangu Iko sirari nilimshauri aandike majina magumu zaidi
  • Boko Haram
  • Janja weed
  • Gaza
  • Mau Mau
  • Al shaabab
  • Al Qaeda. N.K

Majina haya , hata ukimweleza mteja kulala mwisho ni saa 2 asubuhi atakuelewa.
 
Kuna guest niliend chalinze, unaambiwa vyumba viko wazi chagua, kila chumba nachoenda kina demu.

Hizi guest wanatumia ujanja huo kuuza vymba kwa wingi
Hakika ziko mbinu nyingi za kuvuta wateja ila hiyo si inakua ni danguro sasa mkuu?
Sasa ikitokea labda kikundi cha watu wa dini au mtu asiyehitaji mwanamke inakuaje na huyo mrembo huko ndani?
 
Nimekumbuka miaka ya 2003/4 bro wangu upande wa mama mkubwa akamleta mama yake Dar kuja kupumzika na pilika za shamba.

Siku hiyo akamtia kwenye Mark ll Grand yake nikiwa nao kumzungusha kwenye vitega uchumi vyake mjini ukiacha vyote alikuwa na guest yake Mabibo akampeleka ile kufika sijui bi mkubwa alijuaje ile ni gest akarudi haraka kwenye gari akiwa ametahamaki anasali na kumuapiza mwanae kilugha kwamba hata siku moja asije akampa tena hela zake anazozipata kwa watu kukaa uchi.
😀😀😀
Hakika alipata mtihani ila si angemwambia mama kuwa yeye anapokea wasafiri,vikindi vya michezo na vya dini tu 😀😀
 
baadhi ya majina kama ameyaandika kwa ufasaha wa wahusika hayawezi mletea shida kweli..?
wanasheria mnasemaje hapa..?
Majina hayana umiliki kiongoz, Kuna akina Hawa wangapi au wema wangapi!?

Huyo atakaekuja kuseme jina lake limetumika hapo ana uthibitisho gani kuwa mwandishi alimlenga yy na si mwingine?
 
Habari wakuu.e

Kama mnakumbuka niliwahi kuandika uzi juu ya ndoto yangu ya kuanzisha Lodge na nikaumba ushauri juu ya biashara hiyo ambayo Kwa mapenzi ya Mungu mwakani nitakua tayari kuifanya InshaAllah🙏🏼.

Sasa ktk harakati zangu za kufanya research juu ya biashara hii kuna mtu akanishauri nipite pite ktk Lodge kadhaa nione wenzangu wanavyofanya na akanishauri ktk Lodge nitakazopitia nisiache kufika ktk Lodge inayoitwa ALAFAYA iliyoko VIKINDU.

Nikamwambia why niende mbali kote huko?Akasema wewe nenda amini utajifunza mengi.Siku ya siku nikaenda hapo ALAFAYA nikajifanya mteja.Nilipofika hapo nikaelewa kwanini jamaa yangu alisisitiza niende hapo.

Ni ka Lodge fulani hivi kadogo dogo kenye mazingira tulivu na yenye kuvutia sana ndani na nje.Naweza kusema kwa wilaya nzima ya mkuranga hakuna Lodge Classic kama ile.Vipo vingi nimeiga na kuvifanya vizuri zaidi yao😀😀

Tuachane na hayo.Kilichonishangaza hadi kuandika huu uzi ni majina ya vyumba vya ile Lodge.Nimezoea kuona watu wakiandika room numbers au majina ya mikoa au wanyama ila huyu mwenye hii Lodge sijui aliwaza nini hadi akaweka haya majina.

Hili la haya majina sina uhakika kama ni la kuiga bado linanifikirisha😀😀😀

Jioneeni wenyewe kwenye picha wakuu🙃⬇️⬇️View attachment 3153877View attachment 3153878View attachment 3153879View attachment 3153880View attachment 3153882View attachment 3153889View attachment 3153890
Si kweli kuwa kwa Wilaya nzima ya Mkuranga hakuna lodge classic kama Alafaya.

Zipo ila kwa sababu za kibiashara,sitapenda kuzitaja.
 
Hakika ziko mbinu nyingi za kuvuta wateja ila hiyo si inakua ni danguro sasa mkuu?
Sasa ikitokea labda kikundi cha watu wa dini au mtu asiyehitaji mwanamke inakuaje na huyo mrembo huko ndani?
Hukuona baadhi ya guest watu walikamatwa ubungo?

Yan hizi chimbo ninesoma mchezo pale chalinze ni guest ya madereva wa malori. Na bei yake imesimama, sio danguro uchwara.
 
baadhi ya majina kama ameyaandika kwa ufasaha wa wahusika hayawezi mletea shida kweli..?
wanasheria mnasemaje hapa..?
Hakuna mwenye hati miliki ya hayo majina, kuna kachangudowa hapa mtaani kwetu kanaitwa Samia.

Rais wetu anaitwa Samia Suluhu Hassan hapa ndio unakuwa umemlenga yeye haya ni majina yake anayamiliki yeye.
 
Back
Top Bottom