Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Waswahili ukitunzwa na mke unapewa majina ya hovyo kama Marioo! Hili neno silipendi ni basi tu
Wakati mnasema mke mwema hutoka kwa Bwana kwani mwenye kukupa pesa si mwema jamani? au nakosea!
Europeans/Indians,Arabs; wanaamini To every successful Men behind there is woman!
Africans; to every successful men behind there is criminalises/bureaucracy, witch crafts,self-indulgence and slanders.
Tunajazana ujinga kukacha wake wenye pesa, nakosea? vidume tutatoka?
kila mtu anataka kupendwa, na watu/mtu, Rais, Mbunge, Boss wa kampuni, Waziri nk.
hawa nao je ni Mario? hebu shukeni verses! nimechoka na slogan za uswazi!
Wakati mnasema mke mwema hutoka kwa Bwana kwani mwenye kukupa pesa si mwema jamani? au nakosea!
Europeans/Indians,Arabs; wanaamini To every successful Men behind there is woman!
Africans; to every successful men behind there is criminalises/bureaucracy, witch crafts,self-indulgence and slanders.
Tunajazana ujinga kukacha wake wenye pesa, nakosea? vidume tutatoka?
kila mtu anataka kupendwa, na watu/mtu, Rais, Mbunge, Boss wa kampuni, Waziri nk.
hawa nao je ni Mario? hebu shukeni verses! nimechoka na slogan za uswazi!