Majina ya kitanzania yanayosound kimamlaka na nguvu

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Kuna majina ukiyasikia tu unaona hili linawakilisha mamlaka. Yaani jina linakuwa na nguvu ndani yake. Umewahi sikia jina gani la mtanzania ukasema hili linasound kimamlaka na nguvu hasa?

1. Jidula Mabambasi
2. Kaselabantu
3. Fundikira
4. Kunjakuwili
5........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ