Majina ya TCU haya hapa na mikopo waliyopata

Status
Not open for further replies.
jamani wadau mbona cjaelewa hayo majina ya TCU ni ya 2011/2012 au 2013/2014?
 
thanks and God bless u


Mkuu hivi unamaizi kuwa ulichokifanya ni upuuzi?

Kuupdate uzi wa mwaka juzi for reason kipindi ambacho wadogo zetu wapo katika tension ya selection za tcu?

Hebu fikiria tena sababu yako
 
Bila shaka huyu jamaa aliye update hii thread ana utindio wa ubongo sio bure
 
maana..duu..nilizama kwenye herufi yangu..nikamkuta jamaa ashamaliza chuo..duu..nikagutuka..
 
---- Mae zake mb zangu zimepotea bure unapimwa oil. na babako.
 

Pole sana, labda wameona amesomea shule za private
 
mtawaua ndugu zetu jamaa.... wanalia huku wengne wamepewa second round
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…