Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Taarifa mpya kutoka ukumbini Théâtre du Châtelet ni kwamba majina ya nyota wa Real Madrid, Vinicius Jr na Jude Bellingham yameondolewa kwenye viti vyao kwa hafla ya utoaji wa tuzo za Ballon d’Or itakayofanyika usiku wa leo, Paris, Ufaransa.
Hali hii imeleta mshangao mkubwa, na hakuna anayejua kinachoendelea kwa sasa.
Soma, Pia:
• Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu
• Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea Ballon d'Or aliyoporwa Vinicius Jr
Hali hii imeleta mshangao mkubwa, na hakuna anayejua kinachoendelea kwa sasa.
Soma, Pia:
• Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu
• Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea Ballon d'Or aliyoporwa Vinicius Jr