kama kigezo ni timu ya taifa, kwanini asiwe Martinez? kwanini asiwe Carvajal? mafanikio yao yalikuwa makubwa zaidi kuliko Rodri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅 wanao sema vin ana stahili sijui wana tumia vigezo gani maana wakitumia vigezo ivyo nafasi inaenda kwa martinez na wasipo tumia inaenda kwa rodri na carvajal ..
Kwanini watu weusi tunapenda sana kucheza Racism Card? Alidhulumiwa Lewandowski hatukusikia vitu kama hivi.
Kwanini tusiamini ni siasa tu za mpira zinafanyika?
Hata weupe pia.mkuu watu weusi wana matatizo ya akili
Ana uero,legue,mpv wa euro, uefa supercup na fifa club world cup na nkrodri ndie ambae hana kigezo
Ana uero,legue,mpv wa euro, uefa supercup na fifa club world cup na nk
Kigezo kikubwa ni euro au uefa which one is bigclub world cup na super cup nazo zimekuwa vigezo?
Kigezo kikubwa ni euro au uefa which one is big
Acha ushabiki ww🤣UEFA
Acha ushabiki ww🤣
Yani uefa ni kubwa kuliko euro acha utaniushabiki unaleta wewe mkuu
Yani uefa ni kubwa kuliko euro acha utani
Dunia nzima, 🤣🤣Euro inawahusu wachezaji wa mataifa ya Ulaya wakati Champion league ni kwa ajili ya DUnia nzima.
Dunia nzima, 🤣🤣
Sasa rodiri kashinda euro pekeyake?Mkuu unakumba mara ya mwisho ni lini mchezaji aliyeshinda EUro tu kupata uchezaji bora wa Dunia?
Sasa rodiri kashinda euro pekeyake?