Majina ya vinywaji vyetu vya asili

Sasa kuna madogoli ............ yaani hapa madogoli hapa KINDI........... ukienda kile kilabu cha Manzese na Lizaboni (wenyewe tulikuwa tunaita melini) we acha kabisa. Na ukienda kule msamala karibu na yale machinjio............. yaani hapa KINDI, ULANZI na upande wa pili kuna UBENDE, MAVAMBANGOMA, MBULIKA WEEEEEEEEE............
 
We ngalikihinja mwana wa yani? ummanyile na msongela? ah pale namatuhi ndo pa bomani bwana, ummanyile na mbema?
Nimmanyi sana Msongela (Zenda) alikuwa dereva wa loli (isuzu, rangi ya bluu) la kijiji cha Namatuhi and the only usafiri wa uhakika by then. Tulikuwa tunatoka kisiwani na kuvuka zile daraja saba za mto mmoja kufuata pombe na muziki pale ukumbi wa kijiji...........weeeeeeeeeee
 
Hii Gongo si ndo Konyaji ya kiwandani ?
 
Boha inapatikana Tanga inatengenezwa kwa miwa, Wanzuki- Kanda ya ziwa, nafikiri tende ni sawa na Gongo, Mapuya, Kangara-Mwanza; Pingu- Dar, vipi hivi Chibuku sio ya kienyeji?
 
Hii Gongo si ndo Konyaji ya kiwandani ?
Ni kweli, lakini nadhani hii inaitwa gongo kwa vile in the same container............the alcohol content of upper part is different from that of the bottom, and sometime you might take in only alcohol...........
 
Hii Gongo si ndo Konyaji ya kiwandani ?

yeah, ila tofauti yake kubwa ni kwamba ile ya kiwandani wanapima alcoholic contents, ila hii yetu hakuna kupima - unaweza kuwa unakunywa then unamwambia mama muuza "mbona unanizimia taa?" watu wanakushangaa huyu jamaa vp loo kumbe macho yameshapofuka.

ukipata mpishi mzuri - basi yawaka ka mafuta ya taa.
 
Ni kweli, lakini nadhani hii inaitwa gongo kwa vile in the same container............the alcohol content of upper part is different from that of the bottom, and sometime you might take in only alcohol...........


Tatizo kubwa sana la gongo sio kiwango cha 'alcohol' pekee, ila kuna wakati inakua na kiwango kikubwa sana cha methonal (hii ni aina ya 'alcohol' ambayo ni sumu - haifai kwa matumizi ya binadamu). Ingekua ni wingi wa ethanol ('alcohol' inayonyweka na wanadamu) sio tatizo sana, regardless of the inconsistency in the volume of alcohol.
 

Wazuki ni pombe inayotengenezwa kutumia Asali, ni tamu kama Redis kwa wale wanywaji - inapatikana sehemu za Tabora zaidi na kanda ya ziwa.

Hii wazuki kabla hujaenda kunywa lazima uhakikisha umefunga suluari kwa chini kwa kutumia kamba za viatu vyako, kama huna kamba basi lazima uchomekee ndani ya soksi ili kukinga zahma.

Hiki kinywaji kina sifa moja tu ya kulegeza bolti za kule makao makuu kadri unavyozidi kukipata, sasa bila kujijua utaanza kuharibu mazingira ya sehemu husika - na ndiyo maana unatakiwa kuwa umefunga suruari kuzuia mafuriko.

Kama we ni mgeni wa pombe hii nakushauri usitumie, na kama utataka kutumia basi uliza wenyeji wakupe masharti yake ili uwe salama.
 
Wa kunyumba kabisa veve bwelai Pa lipaya unywai mkangafu
 
Naona unamsaidia mkuu jiwe kutafsiri
Kwa wasiojua 'kiingereza'😀!

"Wewe Ngalikihinja ni mtoto wa nani (ni ukoo gani)? Unamfahamu hata Msongela! Pale Namatuhi ndio kwetu bwana, unamfahamu na Mbema?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…