Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

Kuna kituo kimoja pale Kigogo kinaitwa First Inn actually ni jina maarufu la Baa, lakini sikia makonda wanavyokiita ........Vestini.............. vestini............. vestini..........afadhali hata wengine wanaosema festini

Umenikumbusha teja mmoja kitambo kidogo alikua manzese anaitia magari ya mwenge, ia iya akimaanisha sinza mia na mapengo yake.
 
Umenikumbusha kuna kituo kimoja wakati unaenda mororgoro kuna kijiji kinaitwa Senge mkififka hapo kama umepanda coaster utasikia konda anasema ------- wapo? Watu wanajibu tupo! Lol!

hahahaaaa. Tupoooooo
 
Kuna kituo hapa katika barabara iendayo SAUTmalimbe kinaitwa Rose...kama abiria wa kushuka wapo utasikia konda anamwambia dereva.,.oya tembea na Rose.
 
Sinza Makaburini . Konda anauliza "MAKABURINI"
Abiria "NISHUSHE".
Sasa unageuka kuwa marehemu au?
 
Kuna kituo hapa katika barabara iendayo SAUTmalimbe kinaitwa Rose...kama abiria wa kushuka wapo utasikia konda anamwambia dereva.,.oya tembea na Rose.
hata akiuliza Rose mpo????ni mtihani kama wewe sio ROSE
 
Zanzibar kuna kituo kinaitwa Jambiani.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hahaha,utasikia konda,oyaa wale wa baridi,hahaha-kituo cha baridi
 
Makondakta walishindwa kutamka Gospal power eti wakaita popobawa!!!kuna kanisa pale linaitwa gospal power church
 
Mimi kutuo kinachokeraga ni CCM Mbeya. Jamaa ajisema CCM mpooo? Nakaa kimya naenda kushukia Mama John au Ilomba

cki hizi utackia chadema mpoo ccm imepungua, na kile kwa mbilinyi wanaita kwa sugu mpo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…