Majina ya wadada au wanawake wanaotumia Jina hili wanatabia zipi?

Majina ya wadada au wanawake wanaotumia Jina hili wanatabia zipi?

Munguwetu

Member
Joined
Dec 13, 2022
Posts
87
Reaction score
80
Niende moja kwa moja.

Majina ya wadada au wanawake wanaotumia Jina hili wanatabia zipi. Wakuu hembu tuone maana Nina experience mbaya.

1. Aisha. Katika utukufunwake mtume S.A.W Jina Aisha Lina heshima kubwa Sana sio kidogo.

Hapa duniani esp Tanzania naongelea mitaani kwetu. Mambo si salama Sana. Nisisitize hii ni experience yangu mimi.

2. Fatuma. Sijui Sana kuhusu ubora na waheshimiwa waliotumia Jina hili enzi na enzi. Lkn sna uzur Nako Sana Kwa watumishi.

3. Mwamvua au mwamvita.

4. Abgael
 
Kumuacha Mwajuma, Mariamu, Queen, Angel na Mary ni dhambi kubwa.

Majina yote ya Mwana
Mwanaizaya
Mwanajuma
Mwanaisha
Mwana.....

Balaa tupu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Aisha sijaona kama yana shida kuzidi haya apa.

Maria na ndugu yake Mariamu
Lulu
Lilian
Suzzy
Mwanaisha
Tabu
Shida
Chausiku
Pendo
Safina
Fatuma
Halima ( hawa ni moto zaidi )
Felista
Mage
Mwantum
Priska
Jeska
Doreen
Chiku
Bhoke
Sikitu
Yusra
khadija
 
Back
Top Bottom