Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yupo Anaitwa Burton MwengaMbona Mwijaku hujamuandika?
Naam, Dr. Tulia hajawahi kuwa Naibu spika bora, ni naibu spika wa kujipendekeza toka awali.Hata JYN aliingia baada ya kupata uzoefu lakini hukuwa Spika Bora, alikuwa bora spika. Kati ya waliojitokeza, tukiwapanga kwa nani anaweza kutupatia spika bora, Dr. Tulia hata kumi bora, haingii!.
P
Achukue mtu yoyote lakini sio
1. Chenge
2. Tulia
3. Zungu
In that order
Naye alichukua form?Sijamuon prof edson lubua
Naye alichukua form?
Ni either tulia au chenge..Kura kwa Zungu
Uzoefu na ustarabu wake unaendana hali ya sasa
Huyo hapoNaye alichukua form?
Tulia ataingia hapo hujafanya analyisis vizuriHata JYN aliingia baada ya kupata uzoefu lakini hukuwa Spika Bora, alikuwa bora spika. Kati ya waliojitokeza, tukiwapanga kwa nani anaweza kutupatia spika bora, Dr. Tulia hata kumi bora, haingii!.
P
Naunga mkono hojaNaunga mkono hoja
PPamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants
Wanabodi, Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwasababu kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubadilisha to change for the better!. Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi...www.jamiiforums.com
Siyo mjanja katika kupangua bali ni mahiri katika kupangua masuala hayo.Naunga mkono Chenge ni mtu sahihi kwetu ni genius la sheria mjanja katka kupangua masuala yahusuyo mkanganyiko wa kisheria.
Chenge ni mtu sahihi kabisa kwenye nafasi hiyo.Tulia ataingia hapo hujafanya analyisis vizuri
Jina la mwanamke lazima liwemo na yeye ndie mwenye CV nzuri upande wanawake
Nakuelewa najua unampigia kampeni fisadi Change
Chenge awe spika no please
Subiri akuite bungeni kwenye tume ya maadili kwa kukidhalilisha kiti cha naibuHata JYN aliingia baada ya kupata uzoefu lakini hukuwa Spika Bora, alikuwa bora spika. Kati ya waliojitokeza, tukiwapanga kwa nani anaweza kutupatia spika bora, Dr. Tulia hata kumi bora, haingii!.
P
Hao wanagombea kupitia CCM, kwa hiyo wakatwe abaki mmoja ili akapigiwe kura na wabunge (pamoja na wagombea wa vyama vingine)OMBI;- CCM ISIINGILIE KATIKA KUKATA WATU,BUNGE LENYEWE LIMPATE SPIKA WAKE KWA NJIA YA KURA,KILA MMOJA AJIELEZE,AND THEN WAPIGIWE KURA,KWA MIZUNGUKO MITATU KATIKA KUMPATA SPIKA (NAOMBA WAIACHIE DEMOKRASI ITAWALE KATIKA KUMPATA SIPIKA)
Tulia nahisi hana uhakika na nafasi ya uspika ndio maana hajaachia unaibuTulia ataingia hapo hujafanya analyisis vizuri
Jina la mwanamke lazima liwemo na yeye ndie mwenye CV nzuri upande wanawake
Nakuelewa najua unampigia kampeni fisadi Change
Chenge awe spika no please