Majina ya wanaCCM waliochukua fomu za Uspika

Hiyo ni indicator kwamba 2025 sa100 Hana chake.
 
Wengine wamechukua tu form ili kuanza kutengeneza CV zao ijapofika 2024/25...
 
OMBI;- CCM ISIINGILIE KATIKA KUKATA WATU,BUNGE LENYEWE LIMPATE SPIKA WAKE KWA NJIA YA KURA,KILA MMOJA AJIELEZE,AND THEN WAPIGIWE KURA,KWA MIZUNGUKO MITATU KATIKA KUMPATA SPIKA (NAOMBA WAIACHIE DEMOKRASI ITAWALE KATIKA KUMPATA SIPIKA)


Wapigiwe kura watu 71😢😢😢😢😢😢
 
Hiyo ni indicator kwamba 2025 sa100 Hana chake.


Husicheze na Dora chezea sharubu, Hana chake kwa sababu gani labda Hasitake mwenyewe mpende msipende lazima amalize vipindi vyake vyote viwili inshallah
 
Hiyo ni indicator kwamba 2025 sa100 Hana chake.

Ina maana sasa ndani ya CCM kuna wanachama wanaendekeza chokochoko za kupima uwezo wa nguvu ya mwenyekiti wa CCM Taifa, CC Kamati Kuu ya chama na NEC Halmashauri ya Chama katika kusimamia nidhamu yao kupitia utaratibu, mazoea, kanuni, katiba ya chama na viapo vya mwanaCCM kujipima kama anatosha au la ?
 
Hii taarifa ni ya lini?, manake hapo kuna trhe 16/11/2015
 
Sophia Simba, Andrew Chenge, Stephen Maselle, na wengine wote walionyanyaswa na jiwe anafaa kuwa spika

Msukuma na sukuma gang wote wanapoteza muda tu.
 
Hizi ni mfululizo wa nukuu kutoka kwa watia nia kiti cha Spika
Unguja Zanzibar
Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui

LUHANGA MPINA - NINAOMBA USPIKA KURUDISHA MENO YA BUNGE

Chini yangu bunge halitaburuzwa, litakuwa bunge huru na la mfano ktk Jumuiya ya Madola. Tutaishauri kuisimamia na pia hata kukataa miswada isiyokubalika kwa niaba ya wapiga kura wetu ...
 
Nitaleta mabadiliko ndani ya Bunge, hakupepesa anatamani Bunge na wabunge wabadilike ..

Prof. Handley Mpoki Mafwenga ni miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu hizo makao makuu ya CCM Dodoma na ni mtumishi wa Serikali

 
Andrew Chenge : Kila siku nawafundisha , Msiwahishe mambo ninyi waandishi wa habari, acheni chama kiamue nani anafaa kuwania nafasi ya uspika..

 
Unaunga mkono hoja kwa sababu msukuma sivyo, mbona hujamuunga mkono Tulia Akson?
 
Unaunga mkono hoja kwa sababu msukuma sivyo, mbona hujamuunga mkono Tulia Akson?
P
 

https://www.ippmedia.com › habari
Dalili moshi wa kijani U-spika CCM kuanza kuonekana rasmi - IPPMEDIA


8 hours ago — JOTO la uchaguzi wa spika ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) linazidi ... Awali kikao cha Kamati Kuu ya CCM, kilipangwa kufanyika juzi...
 


January 31 , 2022
Dodoma, Tanzania

MCHAKATO WA NDANI YA CCM KUMPITISHA SPIKA, WABUNGE WA CCM WAMPITISHA MGOMBEA WAO MMOJA KWA KAULI MOJA


Kutoka ukumbi uliopo makao makuu ya CCM mjini Dodoma, Caucus ya wabunge wa CCM kwa kura za wazi wapitisha jina moja lililopendekezwa na Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi, jina hilo ni la Dr. Tulia Ackson kuwa mgombea pekee wa CCM. Jumla ya wanachama 69 walijitokeza kuwania kuchaguliwa kuwa wagombea / mgombea wa uspika kupitia CCM.

Source : Wasafi Media
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…