jaman hv ni kwel kwa walio apply ualimu na kupata div 4 hawachaguliwe kujiunga na vyuo vya ualimu?? au utaratibu ukoje??
Mkuu mbona hueleweki unachouliza.?, walio apply na kupata div.4...kumbe siku hizi mki-apply mnapewa na division..?
Eti ni kweli grades za ufaulu secondary zimebadilishwa tena?
Jamani fanyeni msaada kuangalizia mtu jina kwenye stashahada ya elimu ya awali, ameangalia pote bado hapo tu ameshindwa kufungua mtandao unasumbua
jina; MUHIDINI S MAKUKULI
toa mfano ambao wizara iliwah toa tangazo na haikutoa majibu kwa walioomba na kumbk nacte na wizara wanawacliana tena kwa hyo kitendo cha kubadilisha kuona mtu apelekwe koz inayomfaa inawezekana
wadau ni kweli kwamba wakuu wa vyuo hutumiwa majina kabla ya kuachia kwenye mtandao kisha unatumiwa joining kabla hujaipokea ndo yanaachiwa hewani
Ndalichako