Jaman kama kuna mwenye tetesi kuhusu majina ya wanafunzi watakao jiunga na vyuo vya ualimu yanatoka lini naomba anijulishe,mahana nili2ma kama mwanafunzi wa prvt sijuhi nitashughulikiwa!!maana elimu ya tz daah!! MUNGU NISAIDIE!
we ngedere jifunze kuandika 'title' inayoendana na content! Shenzy typ!
Minaweza Kusema Nilipigiwa Cm Na Mmoja Wa Chuo Cha TARIME Kuwa Nimechaguliwa Pale Na Huyo Mkuu Ana Majina ,hlikuwasaidia Na Wenzangu Nimemwambia Hanitumie Kwenye Email Yangu Hli Niyasambaze, Real, Mpaka Mda Huu Nayasubiri Hakiyatuma2 Naweka Mtandaoni,
Minaweza Kusema Nilipigiwa Cm Na Mmoja Wa Chuo Cha TARIME Kuwa Nimechaguliwa Pale Na Huyo Mkuu Ana Majina ,hlikuwasaidia Na Wenzangu Nimemwambia Hanitumie Kwenye Email Yangu Hli Niyasambaze, Real, Mpaka Mda Huu Nayasubiri Hakiyatuma2 Naweka Mtandaoni,
Mkuu acha kutuweka roho juu juu
Dangerm, hakuna cha roho juu hapa. huyu jamaa MASATU katudharau kweli aisee. Mkuu wa chuo chochote ni wakupewa taarifa kwamba pokea wanafunzi wafuatao ktk chuo chako na ni lazima atumie orodha ileile ilioandaliwa na wizara na si vinginevyo, huyo ameitolea wapi orodha kama wizara bado haija release? halafu kwanin awe mkuu wa tarime tu? intergrate ur brain brother u will understand the truth or falsity of MASATU's post
Dangerm, hakuna cha roho juu hapa. huyu jamaa MASATU katudharau kweli aisee. Mkuu wa chuo chochote ni wakupewa taarifa kwamba pokea wanafunzi wafuatao ktk chuo chako na ni lazima atumie orodha ileile ilioandaliwa na wizara na si vinginevyo, huyo ameitolea wapi orodha kama wizara bado haija release? halafu kwanin awe mkuu wa tarime tu? intergrate ur brain brother u will understand the truth or falsity of MASATU's post
Societ Cool Broh ,,hli Mimi Kujua Kama Ni Za Ukweli Na Ndio Maana Nikamwambia Hatume Kwe Mail Yangu,,