BENJAMINI MASATU
Member
- Jul 17, 2014
- 24
- 0
Jamani ambae anajua ualimu wa awali ni ngazi ipi anisaidie
Mkuu mbeya vipi huwezi kuja?Mimi nije kongwa?
ukweli kuhusu post za
ualimu nikwamba hizo zilizotoka nikutoka baraza(nacte) kwa walioomba uko
kwan ht matangazo yao yalikuwa tofauti na ya wizarani hvyo basi kwa
walioomba wizarani post zao zitatoka muda si mrefu.mf wizaran walitoa
tangazo la mafunzo maalumu kwa kidato cha nne miaka 3 kwa waliosoma
sayansi,hisabati na english yaan half combination ila nacte hawakutoa
stashahada juu nacte wamechagua form six .half combination
hawakutoa(advance na ualimu) pia certificate hvyo kuwen na imani wizara
watatoa majina tu.
ukweli kuhusu post za ualimu nikwamba hizo zilizotoka nikutoka baraza(nacte) kwa walioomba uko kwan ht matangazo yao yalikuwa tofauti na ya wizarani hvyo basi kwa walioomba wizarani post zao zitatoka muda si mrefu.mf wizaran walitoa tangazo la mafunzo maalumu kwa kidato cha nne miaka 3 kwa waliosoma sayansi,hisabati na english yaan half combination ila nacte hawakutoa stashahada juu nacte wamechagua form six .half combination hawakutoa(advance na ualimu) pia certificate hvyo kuwen na imani wizara watatoa majina tu.
Una hakili baba gombea ubunge tutakupa, mi npo pamoja na wewe 100% achana na mamwinyi wa humu wanakatisha watu tamaaa. mi na PCM yangu ya division two nimekosa post daa hayo ya nacte, ya wizarani bado
ukweli kuhusu post za ualimu nikwamba hizo zilizotoka nikutoka baraza(nacte) kwa walioomba uko kwan ht matangazo yao yalikuwa tofauti na ya wizarani hvyo basi kwa walioomba wizarani post zao zitatoka muda si mrefu.mf wizaran walitoa tangazo la mafunzo maalumu kwa kidato cha nne miaka 3 kwa waliosoma sayansi,hisabati na english yaan half combination ila nacte hawakutoa stashahada juu nacte wamechagua form six .half combination hawakutoa(advance na ualimu) pia certificate hvyo kuwen na imani wizara watatoa majina tu.
wewe pole sana mi nimefuatilia na ninaevidence zote labda nikuulize je nacte ilitangaza nafasi za grade A na mafunzo maalumu (half combination) kwa form four na je wizara ilitoa tangazo la masomo maalumu yaan ODPE ???? kwa ufupi kilichofanyika hv vtu viwili viligawana majukumu yaan baraza la elimu ya ufundi(nacte)na wizara ya elimu na mafunzo ya ufund. fuatilia mambo mengi nenda mikoan ofisi za taaluma utapata jibu pia matangazo ya kozi walizotangaza pande mbili utaona mwenyewe.