TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Baadhi ya wanamuziki wa bongo wameshindwa kabisa kujipa majina mazuri ya kwenye steji.
Kuna majina ya kisanii ukiyasikia yaani haya "sound", japo mwenye jina anaweza kuwa msanii mzuri. Kutengeneza jina zuri ni sawa na kutengeneza brand name ya kampuni au "logo".
Nitatoa mifano:
1. Majina yasiyo na mvuto: Zuchu, Mbosso, Matonya, Mrisho Mpoto, Mwasiti, Chino Wanaman,Young Lunya, Nikki wa Pili, Kalapina, Dudu Baya, Young Killer Msodoki, Afande Sele, Mheshimiwa Temba, Shilole, Benjamin wa Mambo Jambo nk
2. Majina yenye mvuto: AY, Nakaaya, RosaRee, RayC, Rayvanny, Baisa, Nandy, Joslin, Darassa, Dully Sykes, JD, Sugu, Feza, Linex, Nako2Nako, Stamina, KR nk
We unaona ni jina gani bora/bovu la msanii wa bongo?
NB: Msanii anaruhusiwa kubadilisha jina so ushauri huu unaweza kuwasaidia wasanii wetu kuji brand vizuri.
Kuna majina ya kisanii ukiyasikia yaani haya "sound", japo mwenye jina anaweza kuwa msanii mzuri. Kutengeneza jina zuri ni sawa na kutengeneza brand name ya kampuni au "logo".
Nitatoa mifano:
1. Majina yasiyo na mvuto: Zuchu, Mbosso, Matonya, Mrisho Mpoto, Mwasiti, Chino Wanaman,Young Lunya, Nikki wa Pili, Kalapina, Dudu Baya, Young Killer Msodoki, Afande Sele, Mheshimiwa Temba, Shilole, Benjamin wa Mambo Jambo nk
2. Majina yenye mvuto: AY, Nakaaya, RosaRee, RayC, Rayvanny, Baisa, Nandy, Joslin, Darassa, Dully Sykes, JD, Sugu, Feza, Linex, Nako2Nako, Stamina, KR nk
We unaona ni jina gani bora/bovu la msanii wa bongo?
NB: Msanii anaruhusiwa kubadilisha jina so ushauri huu unaweza kuwasaidia wasanii wetu kuji brand vizuri.