Majina ya wasanii wa bongo yasiyo na mvuto

Majina ya wasanii wa bongo yasiyo na mvuto

Join 2009 , kweli nyuzi za zamani zilikua za moto mno na watu walizitoa kwa akili kubwa.
 
Baadhi ya wanamuziki wa bongo wameshindwa kabisa kujipa majina mazuri ya kwenye steji.

Kuna majina ya kisanii ukiyasikia yaani haya "sound", japo mwenye jina anaweza kuwa msanii mzuri. Kutengeneza jina zuri ni sawa na kutengeneza brand name ya kampuni au "logo".

Nitatoa mifano:

1. Majina yasiyo na mvuto: Zuchu, Mbosso, Matonya, Mrisho Mpoto, Mwasiti, Chino Wanaman,Young Lunya, Nikki wa Pili, Kalapina, Dudu Baya, Young Killer Msodoki, Afande Sele, Mheshimiwa Temba, Shilole, Benjamin wa Mambo Jambo nk

2. Majina yenye mvuto: AY, Nakaaya, RosaRee, RayC, Rayvanny, Baisa, Nandy, Joslin, Darassa, Dully Sykes, JD, Sugu, Feza, Linex, Nako2Nako, Stamina, KR nk

We unaona ni jina gani bora/bovu la msanii wa bongo?

NB: Msanii anaruhusiwa kubadilisha jina so ushauri huu unaweza kuwasaidia wasanii wetu kuji brand vizuri.
Mbona majina ya pande zote ni yaleyale, uliyoyaweka kwënyê mvuto hata hayanivuti
 
Ukiwafahamu hebu unambie na mimi huku Tukuyu tuwafahamu, pengine na kazi ni usanii gani wanafanya huko daslam, wanaigiza? Wanachekesha? Wanaimba? Au wanafanya usanii gan huko daslam? Au ndo vibaka
Ngoja tusubiri mkuu kwa wanetu wa Daslam watujuze,

Sun Zu
 
Kwenye list ya wasanii wenye majina mabovu ungeanza na hili la Kayumba Uzi wako ungekuwa umeutendea haki sana
 
Baadhi ya wanamuziki wa bongo wameshindwa kabisa kujipa majina mazuri ya kwenye steji.

Kuna majina ya kisanii ukiyasikia yaani haya "sound", japo mwenye jina anaweza kuwa msanii mzuri. Kutengeneza jina zuri ni sawa na kutengeneza brand name ya kampuni au "logo".

Nitatoa mifano:

1. Majina yasiyo na mvuto: Zuchu, Mbosso, Matonya, Mrisho Mpoto, Mwasiti, Chino Wanaman,Young Lunya, Nikki wa Pili, Kalapina, Dudu Baya, Young Killer Msodoki, Afande Sele, Mheshimiwa Temba, Shilole, Benjamin wa Mambo Jambo nk

2. Majina yenye mvuto: AY, Nakaaya, RosaRee, RayC, Rayvanny, Baisa, Nandy, Joslin, Darassa, Dully Sykes, JD, Sugu, Feza, Linex, Nako2Nako, Stamina, KR nk

We unaona ni jina gani bora/bovu la msanii wa bongo?

NB: Msanii anaruhusiwa kubadilisha jina so ushauri huu unaweza kuwasaidia wasanii wetu kuji brand vizuri.
Ali Kiba {jina baya}
 
Baadhi ya wanamuziki wa bongo wameshindwa kabisa kujipa majina mazuri ya kwenye steji.

Kuna majina ya kisanii ukiyasikia yaani haya "sound", japo mwenye jina anaweza kuwa msanii mzuri. Kutengeneza jina zuri ni sawa na kutengeneza brand name ya kampuni au "logo".

Nitatoa mifano:

1. Majina yasiyo na mvuto: Zuchu, Mbosso, Matonya, Mrisho Mpoto, Mwasiti, Chino Wanaman,Young Lunya, Nikki wa Pili, Kalapina, Dudu Baya, Young Killer Msodoki, Afande Sele, Mheshimiwa Temba, Shilole, Benjamin wa Mambo Jambo nk

2. Majina yenye mvuto: AY, Nakaaya, RosaRee, RayC, Rayvanny, Baisa, Nandy, Joslin, Darassa, Dully Sykes, JD, Sugu, Feza, Linex, Nako2Nako, Stamina, KR nk

We unaona ni jina gani bora/bovu la msanii wa bongo?

NB: Msanii anaruhusiwa kubadilisha jina so ushauri huu unaweza kuwasaidia wasanii wetu kuji brand vizuri.
Inaonekana una ulimbukeni wewe ndio maana majina ya kimagharibi unayaona ndio mazuri ila ya kibantu unayakashifu 🔥
 
Majina yasiyo na mvuto
1.Msaga Sumu
2.Bonge la Nyau
3.Chopa Mchopanga
4.Dulla Makabila
5.Nikki Mbishi

Majina yenye mvuto
1.S2kizz
2.Lord Eyes
3.J.Mo
4.
 
Inaonekana una ulimbukeni wewe ndio maana majina ya kimagharibi unayaona ndio mazuri ila ya kibantu unayakashifu 🔥
Darasa, Feza, Sugu nayo ni ya kimagharibi?
 
Back
Top Bottom