Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Hapo channel zimevaana. Kwenye kaswida ni singeli na kwaya inapigwa kaswidaJamaa alimaliza kwa kusema, Natuma salamu za rambirambi kwa Malima Ndelema, namwambia tukumbukane kupitia CRDB😃😀😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo channel zimevaana. Kwenye kaswida ni singeli na kwaya inapigwa kaswidaJamaa alimaliza kwa kusema, Natuma salamu za rambirambi kwa Malima Ndelema, namwambia tukumbukane kupitia CRDB😃😀😁
Alipewa salamu na mwamba hapa
Esther Mshana sjui alikuwa mkoa gani nikumbusheNawajua hawa toka mtoto nasikiliza rtd hadi 2009 nikawa na tv.
1. Mbazigwa hasasni, majira dsm
2. Richard leo, mwanza
3. Gerson msigwa, songea
4. Restituta bukoli, shinyanga
5. Benjamini rwegasira, bukoba.(mayalla tufafanulie kidogo kilichompata huyu akiwa na rayonda owani wa rfa)
6. Nsiihma ereeenest, sumbawanga
7. Kanda ya kati dom pia richard
8. Moro unamkuta monika lyampawe
Sikukosa kipindi cha michezo akikikata sued mwinyi au juma nkamia au ezekiel malongo.
Majira nk!
Mzee wangu hakukosa hotuba za ben mkapa.
Akisema ndugu wananchi, redio inatulia tuli mawimbi.
UZI HUU UNANIFANYA NIPUNGUZE ULEVI NIWE NAWAHI NYUMBAN KUPGA STORI NA WATOTO
Kipindi cha Kijaluba na Abdala mlawa majira ya saa 5 usiku hivi,kipindi cha Philips usiku mida ya saa mbili hivi kama sikosei idhaa ya biashara,kipindi cha sikiliza Bwana umeme,kwa mwanga safi,mapishi bila moshi,enzi hizo watu wengi tu walikua wakimudu kupikia majiko ya umeme.Abdallah Mlawa ndo babaake na Kigogo wa Twitter nini?
KunKipindi cha Kijaluba na Abdala mlawa majira ya saa 5 usiku hivi,kipindi cha Philips usiku mida ya saa mbili hivi kama sikosei idhaa ya biashara,kipindi cha sikiliza Bwana umeme,kwa mwanga safi,mapishi bila moshi,enzi hizo watu wengi tu walikua wakimudu kupikia majiko ya umeme.
Deborah Mwenda kama kumbukumbu ziko sawaSara Dumba umemsahau.Tukumbushane yule Mama aliyekuwa anatupigia hadithi kwenye kipindi Cha Mama na mwana alikuwa anaitwa nani?
David Wakati,
Sarah Dumba,
Eda Sanga,
Jacob Tesha,
Ananilea Nkya,
Sango Kipozi,
Omar Jongo,
Ahmed Jongo,
Barnabas Mluge,
Idrissa Sadallah,
Benjamin Kikomongo "Ben Kiko",
Bartholomeo Kombwa "Bart Kombwa",
Danstan Tido Mhando,
Masoud Masoud,
Yusuph Omar Chunda,
Bujaga Izengo Kadago,
Abisai Steven,
Angalieni Mpendu,
Titus Philipo,
Bakari Msulwa,
Michael Katembo,
Nazir Mayoka,
Abdul Ngalawa,
Mohammed Kisengo,
Abdallah Mlawa,
Hendrick Michael Libuda,
Abdallah Idrissa Majura,
Mikidadi Mahmoud,
Rosemary Mkangara,
Wilson Malosha,
Damian Msangya,
Nswima Ernest,
Nathan Rwehabura,
Betty Chalamila (Betty Mkwassa),
Elisia Isabula,
Aloysia Maneno,
Albert Msemembo,
Abdul Masoud,
Chisunga Stephen,
Siwatu Luanda,
Tumbo Tamimu Risasi,
Selemani Mkufya,
Salim Mbonde,
Christine Chokunegela,
Kassim Mikongolo,
Salama Mfamao,
Zawadi Machibya,
Juma Ngondae,
Salim Seif Mkamba,
Nelly Kedela,
Dominic Chilambo,
Sekioni Kitojo,
Malima Ndelema,
Khalid Ponera,
Julius Nyaisanga,
Ahmed Kipozi,
Charles Hillary,
Aboubakar Liongo,
Penzi Nyamungumi,
Sued Mwinyi
Mambo ya RTD enzi hizo:
Ikiwa unawajua hao, jiandae kustaafu
StevenLyimo, Halima Mchuka, PASCO Mayala, Maria Ulimwengu, Rogers Matipa,David Wakati,
Sarah Dumba,
Eda Sanga,
Jacob Tesha,
Ananilea Nkya,
Sango Kipozi,
Omar Jongo,
Ahmed Jongo,
Barnabas Mluge,
Idrissa Sadallah,
Benjamin Kikomongo "Ben Kiko",
Bartholomeo Kombwa "Bart Kombwa",
Danstan Tido Mhando,
Masoud Masoud,
Yusuph Omar Chunda,
Bujaga Izengo Kadago,
Abisai Steven,
Angalieni Mpendu,
Titus Philipo,
Bakari Msulwa,
Michael Katembo,
Nazir Mayoka,
Abdul Ngalawa,
Mohammed Kisengo,
Abdallah Mlawa,
Hendrick Michael Libuda,
Abdallah Idrissa Majura,
Mikidadi Mahmoud,
Rosemary Mkangara,
Wilson Malosha,
Damian Msangya,
Nswima Ernest,
Nathan Rwehabura,
Betty Chalamila (Betty Mkwassa),
Elisia Isabula,
Aloysia Maneno,
Albert Msemembo,
Abdul Masoud,
Chisunga Stephen,
Siwatu Luanda,
Tumbo Tamimu Risasi,
Selemani Mkufya,
Salim Mbonde,
Christine Chokunegela,
Kassim Mikongolo,
Salama Mfamao,
Zawadi Machibya,
Juma Ngondae,
Salim Seif Mkamba,
Nelly Kedela,
Dominic Chilambo,
Sekioni Kitojo,
Malima Ndelema,
Khalid Ponera,
Julius Nyaisanga,
Ahmed Kipozi,
Charles Hillary,
Aboubakar Liongo,
Penzi Nyamungumi,
Sued Mwinyi
Mambo ya RTD enzi hizo:
Ikiwa unawajua hao, jiandae kustaafu.
Jamaa alimaliza kwa kusema, Natuma salamu za rambirambi kwa Malima Ndelema, namwambia tukumbukane kupitia CRDB