Majina ya Watangazaji maarufu enzi hizo Radio Tanzania kabla ya TBC

Majina ya Watangazaji maarufu enzi hizo Radio Tanzania kabla ya TBC

Jamaa alimaliza kwa kusema, Natuma salamu za rambirambi kwa Malima Ndelema, namwambia tukumbukane kupitia CRDB😃😀😁
Hapo channel zimevaana. Kwenye kaswida ni singeli na kwaya inapigwa kaswida
 
Nawajua hawa toka mtoto nasikiliza rtd hadi 2009 nikawa na tv.

1. Mbazigwa hasasni, majira dsm
2. Richard leo, mwanza
3. Gerson msigwa, songea
4. Restituta bukoli, shinyanga
5. Benjamini rwegasira, bukoba.(mayalla tufafanulie kidogo kilichompata huyu akiwa na rayonda owani wa rfa)
6. Nsiihma ereeenest, sumbawanga
7. Kanda ya kati dom pia richard
8. Moro unamkuta monika lyampawe

Sikukosa kipindi cha michezo akikikata sued mwinyi au juma nkamia au ezekiel malongo.

Majira nk!

Mzee wangu hakukosa hotuba za ben mkapa.

Akisema ndugu wananchi, redio inatulia tuli mawimbi.

UZI HUU UNANIFANYA NIPUNGUZE ULEVI NIWE NAWAHI NYUMBAN KUPGA STORI NA WATOTO
Esther Mshana sjui alikuwa mkoa gani nikumbushe
 
Martha Ngwila -Mbeya. Huyu dada alikuaga muongo muongo sana. Unakuta tukio limetokea mahali haendi site anaripoti kupitia "hearsays and rumors". Mwishowe miaka ya 2005 au 2006 hivi alihamishwa na hadi leo sijui yuko wapo.
 
Kwenye kutangaza soka nilikuanaikubali sana combination ya Ahmed Jongo R.I.P na Charles Hilary.
 
Abdallah Mlawa ndo babaake na Kigogo wa Twitter nini?
Kipindi cha Kijaluba na Abdala mlawa majira ya saa 5 usiku hivi,kipindi cha Philips usiku mida ya saa mbili hivi kama sikosei idhaa ya biashara,kipindi cha sikiliza Bwana umeme,kwa mwanga safi,mapishi bila moshi,enzi hizo watu wengi tu walikua wakimudu kupikia majiko ya umeme.
 
Kipindi cha Kijaluba na Abdala mlawa majira ya saa 5 usiku hivi,kipindi cha Philips usiku mida ya saa mbili hivi kama sikosei idhaa ya biashara,kipindi cha sikiliza Bwana umeme,kwa mwanga safi,mapishi bila moshi,enzi hizo watu wengi tu walikua wakimudu kupikia majiko ya umeme.
Kun
 
Kuna mkongwe mmoja alikuwa anaitwa Edward Kahurananga sikumbuki alikuwa anareport kutokea wapi aise
 
Sara Dumba umemsahau.Tukumbushane yule Mama aliyekuwa anatupigia hadithi kwenye kipindi Cha Mama na mwana alikuwa anaitwa nani?
 
SStevEn Lyimo, halima
David Wakati,
Sarah Dumba,
Eda Sanga,
Jacob Tesha,
Ananilea Nkya,
Sango Kipozi,
Omar Jongo,
Ahmed Jongo,
Barnabas Mluge,
Idrissa Sadallah,
Benjamin Kikomongo "Ben Kiko",
Bartholomeo Kombwa "Bart Kombwa",
Danstan Tido Mhando,
Masoud Masoud,
Yusuph Omar Chunda,
Bujaga Izengo Kadago,
Abisai Steven,
Angalieni Mpendu,
Titus Philipo,
Bakari Msulwa,
Michael Katembo,
Nazir Mayoka,
Abdul Ngalawa,
Mohammed Kisengo,
Abdallah Mlawa,
Hendrick Michael Libuda,
Abdallah Idrissa Majura,
Mikidadi Mahmoud,
Rosemary Mkangara,
Wilson Malosha,
Damian Msangya,
Nswima Ernest,
Nathan Rwehabura,
Betty Chalamila (Betty Mkwassa),
Elisia Isabula,
Aloysia Maneno,
Albert Msemembo,
Abdul Masoud,
Chisunga Stephen,
Siwatu Luanda,
Tumbo Tamimu Risasi,
Selemani Mkufya,
Salim Mbonde,
Christine Chokunegela,
Kassim Mikongolo,
Salama Mfamao,
Zawadi Machibya,
Juma Ngondae,
Salim Seif Mkamba,
Nelly Kedela,
Dominic Chilambo,
Sekioni Kitojo,
Malima Ndelema,
Khalid Ponera,
Julius Nyaisanga,
Ahmed Kipozi,
Charles Hillary,
Aboubakar Liongo,
Penzi Nyamungumi,
Sued Mwinyi

Mambo ya RTD enzi hizo:

Ikiwa unawajua hao, jiandae kustaafu

David Wakati,
Sarah Dumba,
Eda Sanga,
Jacob Tesha,
Ananilea Nkya,
Sango Kipozi,
Omar Jongo,
Ahmed Jongo,
Barnabas Mluge,
Idrissa Sadallah,
Benjamin Kikomongo "Ben Kiko",
Bartholomeo Kombwa "Bart Kombwa",
Danstan Tido Mhando,
Masoud Masoud,
Yusuph Omar Chunda,
Bujaga Izengo Kadago,
Abisai Steven,
Angalieni Mpendu,
Titus Philipo,
Bakari Msulwa,
Michael Katembo,
Nazir Mayoka,
Abdul Ngalawa,
Mohammed Kisengo,
Abdallah Mlawa,
Hendrick Michael Libuda,
Abdallah Idrissa Majura,
Mikidadi Mahmoud,
Rosemary Mkangara,
Wilson Malosha,
Damian Msangya,
Nswima Ernest,
Nathan Rwehabura,
Betty Chalamila (Betty Mkwassa),
Elisia Isabula,
Aloysia Maneno,
Albert Msemembo,
Abdul Masoud,
Chisunga Stephen,
Siwatu Luanda,
Tumbo Tamimu Risasi,
Selemani Mkufya,
Salim Mbonde,
Christine Chokunegela,
Kassim Mikongolo,
Salama Mfamao,
Zawadi Machibya,
Juma Ngondae,
Salim Seif Mkamba,
Nelly Kedela,
Dominic Chilambo,
Sekioni Kitojo,
Malima Ndelema,
Khalid Ponera,
Julius Nyaisanga,
Ahmed Kipozi,
Charles Hillary,
Aboubakar Liongo,
Penzi Nyamungumi,
Sued Mwinyi

Mambo ya RTD enzi hizo:

Ikiwa unawajua hao, jiandae kustaafu.
StevenLyimo, Halima Mchuka, PASCO Mayala, Maria Ulimwengu, Rogers Matipa,
 
Back
Top Bottom