Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Sio wew lakini😳😳😳😳😳😳😳😳😳
Una maansha cute??
We jamaa uko wapi[emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
HahahahahaWavaa tuviatu twa Manyoya halafu vina Masikio.
Tumekusikia beatriceJina halibebi tabia ya mtu.
Pendo,Ni majina gan yamekaa kiuzinzi,vicheche?..yaani ukilisikia tu unajua huyu ZOA ZOA ..
Msisahau akina snura,zuchuPendo,
Hawa ukikomaa hata ndogo unapewa
Kuna Brighton na Musa hapo🤣🤣🤣 mana hawa japo wanaume wenzangu ila n 2much😆, wanawake n esther, marry, happy, neema, judy, mwanahawa, amina, siwema nk, na hayo majina nahis yashapigwa mapepo toka kuzimu mana wote ndo hivo hivo tuuuuKelvin,frank,emma,khamis,salum