Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Naona ester unajipigia silent promo😅😅😅Kiukweli sijawahi kumuona Ester mjinga mjinga, sisemi hawapo...mimi sijawahi kumuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ester unajipigia silent promo😅😅😅Kiukweli sijawahi kumuona Ester mjinga mjinga, sisemi hawapo...mimi sijawahi kumuona
Zainabu dadaangu huyo yupo poa sana aisee muondoe humo, hao waliosalia ni msiba!Ukiona jina lolote lina itwa mtu kwa kifupi ujue hilo nuksi
Zainabu = Zaiii Hili balaaa
Atupelee = Atuuu Hili jipu
Catherine = Catheeeee Hiii hatari
Mwajuma = Mwajuuuu Hili bwana weee usiombeee
Zubeda = Zubee Hili siooo
Hawa nao si haba
Asha
Anna
Love (wenye hili jina wamezidi kwakweli)
Unadhani nimesema hivyo kwa kuwa mimi naitwa Ester?Hahaha sawa Esther
SawaNaona ester unajipigia silent promo😅😅😅
Yah hatimae nimejua jina lako Ester huwaga mpo serious sana na maishaUnadhani nimesema hivyo kwa kuwa mimi naitwa Ester?
Kama ni hivyo ngoja nikabadili jina niwe Ester labda mambo yatabadilikaYah hatimae nimejua jina lako Ester huwaga mpo serious sana na maisha
HahahahAh yaani mule muleStella bana dah.. hili jina usije kosea ukampa mwanao watamla papuchi hadi awe mzee kwa sababu hawajui kukataa anaweza akazuga mchana ulivyokutana nae jion ukaenda kula mzigo kiulaini.. wanapenda mgegedo hatareee..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1483]Hahaha kama akina jackline au Catherine
Hatukusamehi. 😉Irene; wakimya ila hatari; mnisamehe kina irine kama mpo humu
Hahahaha..hata mimiAlikwambia nani? Wanawake malaya unawajua kwa majina tu! Sijawahi kukutana na happy ambaye sio kicheche
Majina ya wagumu ni akina aisha etiSidhani Kama majina matters, nachoona mimi sababu ni Biological zaidi, yaani Nyege.
Nyege ni International bhana.
Baada ya wote kutoa list ya gusa unate, nimajina gani ambayo uwa ni ngumu kupakua, Bila shaka watakuwa ni nyegeless.
Unamaanisha Kama akina ebitoke auHatukusamehi. 😉
Yaani watakaopona kutajwa hapa kwa upande wa Wanawake labda wale wenye majina ya kilugha tu. 🤣🤣
Hahahaaa. Hao hao.Unamaanisha Kama akina ebitoke au
kuna kamoja huku kitaani kanaitwa Esther KiberengeHappy happy happy
Recho recho recho sio Raheli hao wakina Recho hapana chezea
ESTHER hiv mara nying huwa vyembamba vijanja sana