Majina yaliyokaa kiuzinzi uzinzi

Majina yaliyokaa kiuzinzi uzinzi

Wakin SAIDI wapole sanaa halafu hawanaga tabia mbaya hata kidogo kwanza ni wacha mungu halafu watulivu hadi wanakuwa wajinga .
N.b
Ninarafiki yangu hadi namuona kama zoba sasa manake ni mpole balaa sjajua inasababishwa na nini hii kitu.
Said mnyamwezi si ndo aliwahi kutaka kula hadi majini...alafu wakamnaniniii SIDE MNYAMWEZIIII
 
Back
Top Bottom