dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
-
- #281
Mkuu uko na uzoefu sana kwenye tasnia eehDiana na happy aseee,diana ujifanya mcha Mungu ila ni malaya wa kiwango yaani wale expensive,kwa happy huyu ajifichi wala nini pesa yako tuu.
Akina happy wameshika usukan duhHappy , neema ,pendo nomaaa hizi chafu
Hatari faayaKuna Brighton na Musa hapo🤣🤣🤣 mana hawa japo wanaume wenzangu ila n 2much😆, wanawake n esther, marry, happy, neema, judy, mwanahawa, amina, siwema nk, na hayo majina nahis yashapigwa mapepo toka kuzimu mana wote ndo hivo hivo tuuuu
Uchokozi huo..hahahahKelvin,frank,emma,khamis,salum
Kweli bwana duu huyu Jacky Narere mchaga nilikuwaga nae Mtwara bana kuuumbe ana kidume kinapiga chuoni kwao! na mimi nina piga! halafu ana maneno meeengi jeuri! kikaolewaga huko Mbeya kikashindwa kukaa na mume! sababu ya shutuma za kichawi kikaendaga kigoma warundi wakajipigia weee!Nimeona Suzie na Jacky wametajwa sana na mimi walinitesa hasa huyo Jacky duuh,
Wazuri lakini tabia mbaya.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Hata huu ni mchango piaHuu Uzi sichangiii chochote
Mkuu hiv ushawah kuona wakina happy wametulia???? Mfano lakiniNilichojifunza katika huu uzi ni kwamba hamna uhusiano wowote kati ya jina na tabia za linae muwakilisha.
Unaemuita mzinzi hapa kuna mwenzako anaweza kuja na mifano ya watu hata 10 wa jina hilo hilo wasio wazinzi..
Hata wewe unae orodhesha majina ya wazinzi kuna post utakuta na we jina lako limetajwa so hoja nzima inakosa mantiki
Tabia ni inborn japo tunaweza nyingine kujifunza kutokana na mazingira ila jina ni creation ya binadam na jina haupewi ukubwani baada ya tabia zako kujulikana.
Labda kama tuko hapa kuwatukana ma ex wetu tu, kwamba kisa alikutosa so unakuja hapa kumuita mzinzi vinginevyo hamna mantiki katika tunayoyafanya hapa
Ndo akina jack wolper haoKweli bwana duu huyu Jacky Narere mchaga nilikuwaga nae Mtwara bana kuuumbe ana kidume kinapiga chuoni kwao! na mimi nina piga! halafu ana maneno meeengi jeuri! kikaolewaga huko Mbeya kikashindwa kukaa na mume! sababu ya shutuma za kichawi kikaendaga kigoma warundi wakajipigia weee!
sasa kiko Dar kimechokaaaa! hata wakupiga tena hkn,
Teh Umepita nao wangapi(natania)Kina neema na Jacky nakubali Aisee..
Ester ni zaidi ya balaaKuna Brighton na Musa hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mana hawa japo wanaume wenzangu ila n 2much[emoji38], wanawake n esther, marry, happy, neema, judy, mwanahawa, amina, siwema nk, na hayo majina nahis yashapigwa mapepo toka kuzimu mana wote ndo hivo hivo tuuuu
Ongezea SteveKelvin,frank,emma,khamis,salum
Acha kuwasingizia mkuu...Ongezea Steve
Mercy, lucy na marryNi majina gan yamekaa kiuzinzi,vicheche?..yaani ukilisikia tu unajua huyu ZOA ZOA ..
Marry umeua kabisa...kuna uzi humu unauliza jina gani lililokuumiza kimapenz hutaki kulisikia...Marry alikua kati ya vinaraHappy,Marry