Majina yaliyokaa kiuzinzi uzinzi

Hatari faaya
 
Nilichojifunza katika huu uzi ni kwamba hamna uhusiano wowote kati ya jina na tabia za linae muwakilisha.

Unaemuita mzinzi hapa kuna mwenzako anaweza kuja na mifano ya watu hata 10 wa jina hilo hilo wasio wazinzi..

Hata wewe unae orodhesha majina ya wazinzi kuna post utakuta na we jina lako limetajwa so hoja nzima inakosa mantiki

Tabia ni inborn japo tunaweza nyingine kujifunza kutokana na mazingira ila jina ni creation ya binadam na jina haupewi ukubwani baada ya tabia zako kujulikana.

Labda kama tuko hapa kuwatukana ma ex wetu tu, kwamba kisa alikutosa so unakuja hapa kumuita mzinzi vinginevyo hamna mantiki katika tunayoyafanya hapa
 
Nimeona Suzie na Jacky wametajwa sana na mimi walinitesa hasa huyo Jacky duuh,
Wazuri lakini tabia mbaya.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Kweli bwana duu huyu Jacky Narere mchaga nilikuwaga nae Mtwara bana kuuumbe ana kidume kinapiga chuoni kwao! na mimi nina piga! halafu ana maneno meeengi jeuri! kikaolewaga huko Mbeya kikashindwa kukaa na mume! sababu ya shutuma za kichawi kikaendaga kigoma warundi wakajipigia weee!

sasa kiko Dar kimechokaaaa! hata wakupiga tena hkn,
 
Mkuu hiv ushawah kuona wakina happy wametulia???? Mfano lakini
 
Ndo akina jack wolper hao
 
Ester ni zaidi ya balaa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…