Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Ipo wazi sema no feelings Tena I guess menopause inaninyemelea
Mmmh mwanamke muongo wewe aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo wazi sema no feelings Tena I guess menopause inaninyemelea
Mpenzi kuna jina hapo linafanana na langu [emoji22]Jacky, Suzy na Jamila...Happy ni vishoia! [emoji3][emoji3][emoji3]
Dulla ndiye huyo huyo AbdulPendo, mariam, Suzy,
Kwa wanaume..
Baraka.. Dulla, abdul..
😂😂😂 pole sana h, wingi wenu unawaponza...joking!Mpenzi kuna jina hapo linafanana na langu [emoji22]
Khaaaa!!!Grace. Samahani kama kuna Grace hum ila wenye hili jina jamani hapana
Khaaaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] pole sana h, wingi wenu unawaponza...joking!
Teh kuna kina Side Mnyamwezi achana nao kamuulize Mhe TembaWakin SAIDI wapole sanaa halafu hawanaga tabia mbaya hata kidogo kwanza ni wacha mungu halafu watulivu hadi wanakuwa wajinga .
N.b
Ninarafiki yangu hadi namuona kama zoba sasa manake ni mpole balaa sjajua inasababishwa na nini hii kitu.
Nimesoma kuanzia mwanzo wa hii thread.... Ukiangalia kwa makini basi wanawake wote ni malaya... Hakuna jina ambalo halijatajwa....[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nimesoma kuanzia mwanzo wa hii thread.... Ukiangalia kwa makini basi wanawake wote ni malaya... Hakuna jina ambalo halijatajwa....
dah; hili jina langu halijawahi kuweka kwenye mambo ya heshima kabisa; kwenye dreva boda boda limo, wizi limo,DJ wa vigodoro limo ukicheche nao linatajwa limo. Kazi ipoChiku
Mwajuu
Pendo
Tinna
Dullah
Chollo
Muddy
Nimeliona sema kwakuwa nna mahaba na wewe nikatumia uwezo wangu wa uMOD nikadelete....Langu mimi halijatajwa. Halafu tunaangalia majina yaliyotokea mara nyingi maana wengine wanataja tu kisa X wake anaitwa Tununu basi anakuja kutaja
Nimeliona sema kwakuwa nna mahaba na wewe nikatumia uwezo wangu wa uMOD nikadelete....
Kwanini Sasa?Mmmh mwanamke muongo wewe aisee