Majina yaliyokaa kiuzinzi uzinzi

Upande wa kiume Emmanuel au Imma kama tulivyozoea kuwaita, wanakuwaga hawajatulia kabisa, hata kama sio upande wa wanawake lazima watakuwa watundu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1] Uo ni uongoukweli
 
Mpaka saivi nishawai kuishi na nasra kama watatu na wote nshapakua
 
Wakin SAIDI wapole sanaa halafu hawanaga tabia mbaya hata kidogo kwanza ni wacha mungu halafu watulivu hadi wanakuwa wajinga .
N.b
Ninarafiki yangu hadi namuona kama zoba sasa manake ni mpole balaa sjajua inasababishwa na nini hii kitu.
Side? We! We! We!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…