dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
- #161
Zuchu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ,mzee mwenzangu nakusalimu.Mage
Mariamu
Felister
Anna
Mnisamehe sana wenye haya majina
Hahahahahahahahahaha!Kuna Joyce
Halafu wakina jack aisee kudadadekii halafu wanakuaga weupe
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sanaHahaha ,mzee mwenzangu nakusalimu.
Naona umewakumbuka Ma ex wakoKelvin,frank,emma,khamis,salum
Hahahahah Aisee [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Kelvin,frank,emma,khamis,salum
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1] Uo ni uongoukweliUpande wa kiume Emmanuel au Imma kama tulivyozoea kuwaita, wanakuwaga hawajatulia kabisa, hata kama sio upande wa wanawake lazima watakuwa watundu
Unazingua mkuu...kuna jina hapo halistahili kuwepo 😩Mage
Mariamu
Felister
Anna
Mnisamehe sana wenye haya majina
Apo kwenye mamuu napigilia msumariVaileth, Rehema, Mamuu, Mage.
Kuna majina matatu apo hao watu ni shida.Salma
Jacky
Irene
Happy
Marium
Neema
Joyce
Kitambo hatujaonana kabisa ndugu yangu.Asante sana
Hiv hawa akina de cute ni kabila ganMwantumu
Maimuna
Mwanahamisi
Hadija
Shida
Tabu
Mwajuma
Aisha
Ukija tena kwa kina JoJo,Momo,de cute,nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili jina hata kuku wako usimpe, nawafahamu kina STELA 8_lakini wote full mapepe.Stella bana dah.. hili jina usije kosea ukampa mwanao watamla papuchi hadi awe mzee kwa sababu hawajui kukataa anaweza akazuga mchana ulivyokutana nae jion ukaenda kula mzigo kiulaini.. wanapenda mgegedo hatareee..
Mwanaidi, Mwajuma na Mwanaisha kwanza hawa ni waswahili kwelikweli maneno kibao, wanapenda ngoma hatare sijui vigodoro. Hawa bana akishaona hata elfu 5 husumbuki kutafuta sehemu hata kwenye mti unaegesha tu una gegeda kwa raha zako. nao kwa sababu huwa wanapenda ngoma basi wanataka kukuonesha mauno hatare sasa kama unakifua cha mende watakuua kwa miuno lazima uwe na pumzi za duma au simba. ila uzuri wa hawachagui sehemu ya kuingia gesti ya elfu 5 twende, kwenye majani au jumba bovu yani ww tu mzeebaba .
Side? We! We! We!!Wakin SAIDI wapole sanaa halafu hawanaga tabia mbaya hata kidogo kwanza ni wacha mungu halafu watulivu hadi wanakuwa wajinga .
N.b
Ninarafiki yangu hadi namuona kama zoba sasa manake ni mpole balaa sjajua inasababishwa na nini hii kitu.