Majina yaliyokaa kiuzinzi uzinzi

Majina yaliyokaa kiuzinzi uzinzi

Upande wa kiume Emmanuel au Imma kama tulivyozoea kuwaita, wanakuwaga hawajatulia kabisa, hata kama sio upande wa wanawake lazima watakuwa watundu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1] Uo ni uongoukweli
 
Mpaka saivi nishawai kuishi na nasra kama watatu na wote nshapakua
 
Mwanaidi, Mwajuma na Mwanaisha kwanza hawa ni waswahili kwelikweli maneno kibao, wanapenda ngoma hatare sijui vigodoro. Hawa bana akishaona hata elfu 5 husumbuki kutafuta sehemu hata kwenye mti unaegesha tu una gegeda kwa raha zako. nao kwa sababu huwa wanapenda ngoma basi wanataka kukuonesha mauno hatare sasa kama unakifua cha mende watakuua kwa miuno lazima uwe na pumzi za duma au simba. ila uzuri wa hawachagui sehemu ya kuingia gesti ya elfu 5 twende, kwenye majani au jumba bovu yani ww tu mzeebaba .
Wakin SAIDI wapole sanaa halafu hawanaga tabia mbaya hata kidogo kwanza ni wacha mungu halafu watulivu hadi wanakuwa wajinga .
N.b
Ninarafiki yangu hadi namuona kama zoba sasa manake ni mpole balaa sjajua inasababishwa na nini hii kitu.
Side? We! We! We!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom