Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa

Kwenye mwanamuziki wa kike hapo mh. Lady JayDee vs Vanessa Mdee sijui kura nimpe nani
 
Kende umeongea ukweli hawa jamaa wanamchukulia poa mavoko ila IPO siku watamwelewa
 
Hizo tuzo wangebadili jina kuwa ni za redio, Tv na watangazaji wa redio na Tv za DSm tu , tungawaelewa sana kuliko hicho wanachokifanya sasa
 
Mradi Alikiba yumo wengine ambao hawajapendekezwa watajijuuu!!

Mwanamuziki bora wa kiume kama ambavo jina lake limetangulia
 
Mradi Alikiba yumo wengine ambao hawajapendekezwa watajijuuu!!

Mwanamuziki bora wa kiume kama ambavo jina lake limetangulia

Sis where are you jamanii!Kule story imenoga balaa.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…