Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa

Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa

Msanii ana matuzo kibao na leo hii kawa NEMBO YA TAIFA unamuweka na ............................... hizi kweli tuzo za watu (kumbuka unaposema watu maana yake ni pamoja na vichaa )
 
nifah toka lini mbea akachagua umbea? Mie nafanya umbea kazi sio fashion, hahahahah hahha
 
Last edited by a moderator:
Umbea wa MMU binamu.Naona sijakuona kule kabisa nikadhani wewe unapenda umbea wa mastar wa bongo tu ila wa JF huupendi.

Toka lini mbea akachagua umbea? Nafanya umbea kama kazi na sio fashion, aaahaaa, nakuja PM sasa iv
 
Toka lini mbea akachagua umbea? Nafanya umbea kama kazi na sio fashion, aaahaaa, nakuja PM sasa iv

Ha ha ha warumi binamu yangu nakupenda sana lakini nakujua wewe hunaga kifua.
Usijeniletea balaa bure huko PM!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom