Majini mahaba yananinyima raha, nifanyeje?

Majini mahaba yananinyima raha, nifanyeje?

AKILI KIJIKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
405
Reaction score
589
Habari zenu jamani,

Mimi ni kijana miaka 25 sijaoa ila nina mpenzi ambaye sijawahi fanya nae mapenzi kwasababu anamajini mahaba wawili kichwani kwake mmoja wa kiume na mwingine wa kike, mwezi hauishi bila kupandisha hayo mashetani yake. Pia majini mahaba hayo hayataki nizini na mpenzi wangu hata kumshika tu nishida.

Kunasiku niliforce kupiga mate nusura aning'ate ulimi niliponea chupuchupu nikatoa ulimi fasta. mpenzi nampenda sana na yeye naamini ananipenda huwa anadai nikishamuoa hayatakuwa na shida.

Tena sababu itakuwa sio zinaa tena lakini hofu yangu ni kuwa nisije kuoa halafu mambo yakaendelea kuwa kama yalivosasa mambo ya kuoa halafu unapangiwa masharti ya kulala na mkeo siyataki.

Wataalam naombeni mnisaidie kwa ushauri au kwa anaejua dawa ya majini mahaba plz nisaidieni nimechoka kula kwa macho kilasiku.

Karibuni kwa maoni yenu
 
Kuna rafiki yangu mmoja yalimkuta kama haya mgegedo wake ulilala kama mwezi, Mpaka kafanyiwa madawa ya kienyeji ndio ukaja juu. dadeki zake alikoma kuchukuwa wanawake wenye mizuka
 
Unatfuta dawa
Mungu pekee anaweza kumsaidia mchumba wako
Km we ni m islamu nenda kwa she
Km ni mkristo muone MCHUNGAJI au padre
Km nimekuboa nisamehe
Aaamin ktk mungu
 
Habar zenu jaman mimi ni kijana miaka 25 sijaoa ila nina mpenz ambaye sijawahi fanyanae mapenzi kwasababu anamajini mahaba wawili kichwani kwake mmoja wakiume na mwingine wakike mwezi hauishi bila kupandisha hayo mashetani yake. Pia majini mahaba hayo hayataki nizini na mpenzi wangu hata kumshika tu nishida. Kunasiku niliforce kupiga mate nusura aning'ate ulimi niliponea chupuchupu nikatoa ulimi fasta. Demu na mpenda sana nayeye naamini ananipenda huwa anadai nikisha muoa hayatakuwa na shida tena sababu itakuwa sio zinaa tena lakini hofu yangu ni kuwa nisije kuoa halafu mambo yakaendelea kuwa kama yalivo sasa mambo ya kuoa halafu unapangiwa masharti ya kulala na mkeo siyataki. Wataalam naombeni mnisaidie kwa ushauri au kwa anaejua dawa ya majini mahaba plz nisaidieni nimechoka kula kwa macho kilasiku
Karibuni kwa maoni yenu

Mpeleke kwa Mchungaji Lusekelo mzee wa Upako atawafukuzilia mbali kwani majini ni mashetani na kamwe hakuna shetani mzuri au anayelinda binadamu, shetani atakupa kitu ila kwa upande mwingine ana chukua zaidi ya alichokupa! else mpeleke kwa Prophet T B Joshua wa uhakika.
 
Kuna rafiki yangu mmoja yalimkuta kama haya mgegedo wake ulilala kama mwezi, Mpaka kafanyiwa madawa ya kienyeji ndio ukaja juu. dadeki zake alikoma kuchukuwa wanawake wenye mizuka
Duuuuh hatari sana kama ndo ivo
 
Siku mkienda kufanya

Tafuta nyungu weka chumbani huyo jini atakuwa mpole na hatokusumbua


Mkuu nyungu ya dawa ile ya kujifukiza au Chungu cha udongo cha kupikia, naomba ufafanuzi kidogo
 
isijew kuwa mdada anakunyima gemu kiaina anajifanya majini mahaba
Sidhani kama ananinyima kiaina kwasababu mda mwingine yeye ndio huforce mazingira tufanye na huwa anajitahidi kutafuta solution kama kwenda kwa waganga lakin hawamsaidii chochote
 
Unatfuta dawa
Mungu pekee anaweza kumsaidia mchumba wako
Km we ni m islamu nenda kwa she
Km ni mkristo muone MCHUNGAJI au padre
Km nimekuboa nisamehe
Aaamin ktk mungu
Jambo la msingi sana hili mkuu lakin inahitaji imani kubwa sana sijui kama anaamini njia hiyo kama itamsaidia
 
nyungu ndiyo nini?
Nyungu ni dawa inayotumika kutibu/kuwatuliza watu wenye majini hata awe mbishi vp lzm atatulia

Ni mchanganyiko wa majani na vitu vingine sivipati vzr ambayo huwekwa kwenye sufuria au bakuli lkn ichemshwe ili mvuke na harufu Fulani itoke ..jini akiisikia basi hufadhaika,kuumia na kutulia utakuwa na uwezo wa kumfanya chochote
 
Back
Top Bottom