Majini mahaba yananinyima raha, nifanyeje?

Majini mahaba yananinyima raha, nifanyeje?

Owa tuuu hakuna kitu kizuri mungu asiweke rehma zake na kuwapa taafifu, Fanya ndoa sheikh
Sheikh usije ukaniponza maana naskiaga huwa yakimpenda mtu huwa hayataki binadamu aingilie mapenzi yao
 
Mpeleke kwa Mchungaji Lusekelo mzee wa Upako atawafukuzilia mbali kwani majini ni mashetani na kamwe hakuna shetani mzuri au anayelinda binadamu, shetani atakupa kitu ila kwa upande mwingine ana chukua zaidi ya alichokupa! else mpeleke kwa Prophet T B Joshua wa uhakika.
Asante nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Jambo la msingi sana hili mkuu lakin inahitaji imani kubwa sana sijui kama anaamini njia hiyo kama itamsaidia
Hapo sasa pia jamaa anataka asidiwe ili atmize lengo lake la kuvunja amri ya6 km anamalengo nae basi afanye hivo
 
Nyungu ni dawa inayotumika kutibu/kuwatuliza watu wenye majini hata awe mbishi vp lzm atatulia

Ni mchanganyiko wa majani na vitu vingine sivipati vzr ambayo huwekwa kwenye sufuria au bakuli lkn ichemshwe ili mvuke na harufu Fulani itoke ..jini akiisikia basi hufadhaika,kuumia na kutulia utakuwa na uwezo wa kumfanya chochote
Mmmh kumbe sikuelewa mimi nilijua chungu cha kupikia tu kumbe ni mchanganyiko wa dawa za mitishamba duuh nitapata wapi hiyo nyungu mkuu ?
 
Asante nitaufanyia kazi ushauri wako

Kama wewe ni Mkatolilki mpeleke kwa Father Nkwera pale River Side Ubungo Maombi ni bure hakuna cha kupanda mbegu wala senti tano wee nauli yako tu ya kukufikisha pale na kurudi nyumbani. Completely free even if you are not a Catholic you will be attended without any cost!
 
Mmmh kumbe sikuelewa mimi nilijua chungu cha kupikia tu kumbe ni mchanganyiko wa dawa za mitishamba duuh nitapata wapi hiyo nyungu mkuu ?
Hata cjui wapi maana mm mwenyewe niliona wkt chalii mmoja alikuwa na madude hayo alikuwa msumbufu cna lkn akiona nyungu anakuwa mpole.ni majani na mitishamba fulan hv wataalam watakuwa wanazijua..chungu ndio kitibu khaa
 
Sepa haraka sana. Ya nini kuwa na mpenzi ambaye huna amani naye mnapokuwa pamoja?

Habar zenu jaman mimi ni kijana miaka 25 sijaoa ila nina mpenz ambaye sijawahi fanyanae mapenzi kwasababu anamajini mahaba wawili kichwani kwake mmoja wakiume na mwingine wakike mwezi hauishi bila kupandisha hayo mashetani yake. Pia majini mahaba hayo hayataki nizini na mpenzi wangu hata kumshika tu nishida. Kunasiku niliforce kupiga mate nusura aning'ate ulimi niliponea chupuchupu nikatoa ulimi fasta. Demu na mpenda sana nayeye naamini ananipenda huwa anadai nikisha muoa hayatakuwa na shida tena sababu itakuwa sio zinaa tena lakini hofu yangu ni kuwa nisije kuoa halafu mambo yakaendelea kuwa kama yalivo sasa mambo ya kuoa halafu unapangiwa masharti ya kulala na mkeo siyataki. Wataalam naombeni mnisaidie kwa ushauri au kwa anaejua dawa ya majini mahaba plz nisaidieni nimechoka kula kwa macho kilasiku
Karibuni kwa maoni yenu
 
Mmmh kumbe sikuelewa mimi nilijua chungu cha kupikia tu kumbe ni mchanganyiko wa dawa za mitishamba duuh nitapata wapi hiyo nyungu mkuu ?

Badala ya kufukuza mashetani/majini wee wantaka kuwatuliza tu ili iwe nini? Ukiwatuliza ndo mwanzo gomvi majumbani, watoto kuwa watukutu, wadokozi(wezi), kupota zero darasani na kadhalika even mimba kutoka....
 
Mpeleke kwa Mchungaji Lusekelo mzee wa Upako atawafukuzilia mbali kwani majini ni mashetani na kamwe hakuna shetani mzuri au anayelinda binadamu, shetani atakupa kitu ila kwa upande mwingine ana chukua zaidi ya alichokupa! else mpeleke kwa Prophet T B Joshua wa uhakika.
Aende kwa mzee wa bapa😀
 
Ukimuoa ilo jini la kiume kuna siku litakukaza tu.
 
Kwa hiyo hilo jini la kiume linamnanihii na hilo la kike linamsaga...na wewe unataka! Sasa subiri hilo la kiume liwe popobawa
 
Back
Top Bottom