Majini mahaba yananinyima raha, nifanyeje?

Majini mahaba yananinyima raha, nifanyeje?

Habari zenu jamani,

Mimi ni kijana miaka 25 sijaoa ila nina mpenzi ambaye sijawahi fanya nae mapenzi kwasababu anamajini mahaba wawili kichwani kwake mmoja wa kiume na mwingine wa kike, mwezi hauishi bila kupandisha hayo mashetani yake. Pia majini mahaba hayo hayataki nizini na mpenzi wangu hata kumshika tu nishida.

Kunasiku niliforce kupiga mate nusura aning'ate ulimi niliponea chupuchupu nikatoa ulimi fasta. mpenzi nampenda sana na yeye naamini ananipenda huwa anadai nikishamuoa hayatakuwa na shida.

Tena sababu itakuwa sio zinaa tena lakini hofu yangu ni kuwa nisije kuoa halafu mambo yakaendelea kuwa kama yalivosasa mambo ya kuoa halafu unapangiwa masharti ya kulala na mkeo siyataki.

Wataalam naombeni mnisaidie kwa ushauri au kwa anaejua dawa ya majini mahaba plz nisaidieni nimechoka kula kwa macho kilasiku.

Karibuni kwa maoni yenu
Usimwoe kabla hafunguliwa Na hilo tatizo ukijidanganya litakwisha.
Majini mahaba yana wivu mkali sana hutafurahia hiyo ndoa maisha yako yote.Kwanza atafungwa kizazi Hata zaa.
Ushauri mpeleke kwenye maombezi.
 
Mkuu we kula kitimoto alafu jipake mafuta yake kwenye mdomo na dushee kisha kapige mgegedo majini yenyewe yatasepa
 
NJOONI KWA BWANA YESU MUUPOKEE UHURU WENU.
Binafsi siwezi kuja kwa bwana Yesu kwaajili ya mke, hapo nitakuwa nimempenda zaidi mke kuliko huyo Yesu ni bora niamue tu kwa mapenzi yangu binafsi kumpokea Yesu sio sababu ya mapenzi
 
Kama unampenda utamlinda cha msingi we fuata masharti mambo yakiendelea kuwa hivyo tafuteni dawa nyingine za kuwatoa hao
 
Ukikubali kumuoa huyo mwanamke kabla ya hayo mashaytwaan kutolewa itakupelekea nawe kuja kuwatii hao viumbe na kuwa mtumwa wao
 
Habari zenu jamani,

Mimi ni kijana miaka 25 sijaoa ila nina mpenzi ambaye sijawahi fanya nae mapenzi kwasababu anamajini mahaba wawili kichwani kwake mmoja wa kiume na mwingine wa kike, mwezi hauishi bila kupandisha hayo mashetani yake. Pia majini mahaba hayo hayataki nizini na mpenzi wangu hata kumshika tu nishida.

Kunasiku niliforce kupiga mate nusura aning'ate ulimi niliponea chupuchupu nikatoa ulimi fasta. mpenzi nampenda sana na yeye naamini ananipenda huwa anadai nikishamuoa hayatakuwa na shida.

Tena sababu itakuwa sio zinaa tena lakini hofu yangu ni kuwa nisije kuoa halafu mambo yakaendelea kuwa kama yalivosasa mambo ya kuoa halafu unapangiwa masharti ya kulala na mkeo siyataki.

Wataalam naombeni mnisaidie kwa ushauri au kwa anaejua dawa ya majini mahaba plz nisaidieni nimechoka kula kwa macho kilasiku.

Karibuni kwa maoni yenu
Usingonoke kabla ya ndoa.
Sisi kaka zako tunajuta sana maana tulianza kumega mapema sana kabla hata wake zetu hawajaumbwa
 
Back
Top Bottom