AKILI KIJIKO
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 405
- 589
- Thread starter
- #41
Ya kweli haya maana nisije nikayatibua kabisaaNenda na mfupa wa nguruwe/ bangi ukachape mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kweli haya maana nisije nikayatibua kabisaaNenda na mfupa wa nguruwe/ bangi ukachape mambo
Huko ndo nitayatibua kabisaaaNJOONI KWA BWANA YESU MUUPOKEE UHURU WENU.
Usimwoe kabla hafunguliwa Na hilo tatizo ukijidanganya litakwisha.Habari zenu jamani,
Mimi ni kijana miaka 25 sijaoa ila nina mpenzi ambaye sijawahi fanya nae mapenzi kwasababu anamajini mahaba wawili kichwani kwake mmoja wa kiume na mwingine wa kike, mwezi hauishi bila kupandisha hayo mashetani yake. Pia majini mahaba hayo hayataki nizini na mpenzi wangu hata kumshika tu nishida.
Kunasiku niliforce kupiga mate nusura aning'ate ulimi niliponea chupuchupu nikatoa ulimi fasta. mpenzi nampenda sana na yeye naamini ananipenda huwa anadai nikishamuoa hayatakuwa na shida.
Tena sababu itakuwa sio zinaa tena lakini hofu yangu ni kuwa nisije kuoa halafu mambo yakaendelea kuwa kama yalivosasa mambo ya kuoa halafu unapangiwa masharti ya kulala na mkeo siyataki.
Wataalam naombeni mnisaidie kwa ushauri au kwa anaejua dawa ya majini mahaba plz nisaidieni nimechoka kula kwa macho kilasiku.
Karibuni kwa maoni yenu
Hataivo siwez kufika huko kote mbali itabidi nimuache tuKwa hiyo hilo jini la kiume linamnanihii na hilo la kike linamsaga...na wewe unataka! Sasa subiri hilo la kiume liwe popobawa
Binafsi siwezi kuja kwa bwana Yesu kwaajili ya mke, hapo nitakuwa nimempenda zaidi mke kuliko huyo Yesu ni bora niamue tu kwa mapenzi yangu binafsi kumpokea Yesu sio sababu ya mapenziNJOONI KWA BWANA YESU MUUPOKEE UHURU WENU.
Ukikubali kumuoa huyo mwanamke kabla ya hayo mashaytwaan kutolewa itakupelekea nawe kuja kuwatii hao viumbe na kuwa mtumwa wao
Usingonoke kabla ya ndoa.Habari zenu jamani,
Mimi ni kijana miaka 25 sijaoa ila nina mpenzi ambaye sijawahi fanya nae mapenzi kwasababu anamajini mahaba wawili kichwani kwake mmoja wa kiume na mwingine wa kike, mwezi hauishi bila kupandisha hayo mashetani yake. Pia majini mahaba hayo hayataki nizini na mpenzi wangu hata kumshika tu nishida.
Kunasiku niliforce kupiga mate nusura aning'ate ulimi niliponea chupuchupu nikatoa ulimi fasta. mpenzi nampenda sana na yeye naamini ananipenda huwa anadai nikishamuoa hayatakuwa na shida.
Tena sababu itakuwa sio zinaa tena lakini hofu yangu ni kuwa nisije kuoa halafu mambo yakaendelea kuwa kama yalivosasa mambo ya kuoa halafu unapangiwa masharti ya kulala na mkeo siyataki.
Wataalam naombeni mnisaidie kwa ushauri au kwa anaejua dawa ya majini mahaba plz nisaidieni nimechoka kula kwa macho kilasiku.
Karibuni kwa maoni yenu